Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Hata mi naskia ivo na anashirikiana vizuri tu na viongozi wa ccm na serikali ila kisiri sana
Hata mimi pia nimesikia kuwa Dr Slaa anashirikiana kwa siri sana na viongozi wa ccm hasa wale watumishi wa Umma waliompa nyaraka za EPA, uingizaji wa silaha za ccm, wizi wa kura zake na ule waraka wa kufuatilia watumishi wa umma wanaounga mkono chadema ili wafukuzwa.
Ni kweli kabisa nasikia wanakutana mara nyingi sana tena usiku. Wewe Nyaraka muhimu za kifisadi za serikali angezitoa wapi? Ni watumishi wa serikali ya ccm ambao ni wanaccm ndo wamempa? Tuko pamoja mkuu.
kama hii kadi ya ccm aliyonayo faida yake ndo hizi, basi mimi naunga aendelee kuwa nayo. Ila bahati mbaya mambo yake yanaharibu ccm.