Je kumiliki kadi ya ccm cyo usaliti ?
Kama zitto kabwe angebambwa ha hii kadi ya ccm ingejuwaje?
Cc: Dk slaa
Mtahangaika sana na huo msukule wenu,Badala ya kumshauri atulie nyie mnamshabikia kishamba,atafukuzwa kama mbwa na uzuri nia yake ovu imejidhirisha ndani ya muda mfupi baada ya kuondolewa vyeo vyake.ni nani asiyejua jinsi anavyotumika na ccm? nani asiyejua kuwa mikutano yake kuanzia ule wa SERENA na huko Kigoma iliratibiwa na ccm?