Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Hiyo siyo nundu ni king'amuzi cha ki-intelijensia ku-ditect wabaya wa CCM.
haaaaaaahaa Nduka we ni noma kimsingi nakukubali sana,u always make me happy with ur posts! tuko pamoja kaka mpaka kieleweke! ALUTA CONTINUA
haaaaaaahaa Nduka we ni noma kimsingi nakukubali sana,u always make me happy with ur posts! tuko pamoja kaka mpaka kieleweke! ALUTA CONTINUA
Kwenye RED Hapo,kula alipata Mkwere, Dr Slaa alipata Kura za kutosha tuKigoma ni kwetu baba hapo walisha msoma nyendo zake zote, wanamuelewa ni balaa, wala asijidanganye kuwa kwa yeye hapo kgm mjini eti ana kula, muulizeni madiwani wa chadema mjini ni wangapi na yeye alipata kula ngapi?. Walipofariki wafuasu wa chadema hapo ujiji mbona hakuonekana. Unajua hiyo ndiyo ajira yake iliyobaki kwa sasa kwahiyo kuzunguuka kwake nchini hatumshangai. Sijasikia tatizo hata moja analotoa solution yeye ni mzee wa kulalamika. Kigoma siasa ya upinzani tumeijua yeye bado ni padre.achukue zake time Kg(Lwama) hatuhitaji wanafiki, na anaona aibu kwa alivyotaka kujifanyisha kwa mbunge wetu Zitto.
Ni kweli,CDM imejengwa na watu wenye Busara kama Sikonge, ila nyie CCM imejengwa na Ma MBUMBUMBU, ma KUBWA JINGA Kama wewe,na wenzio wote mliotumwaHaya, unabusara sana, nadhani CDM inahitaji watu kama wewe..Piipooooz
hata zile kula chache alizozipata ile ilikuwa ni trela asubiri mkanda wenyewe atajuta kuzaliwa. Na ataomba bora arudi kanisani awe padri.kwa yeye kuanzia kanisani kisha kashindwa na kurudi ulaiani halafu ulaiani kwenyewe kafika anaendeleza kamata kamata ya watotozi kiasi kwamba hata kuoa kashindwa inamuonesha kuwa ni muovu ktk imani yake. Mwambieni ajisafishe kwanza kisha aoe maana uzee huo.yaani jamaa yenu kwenda kg(lwama) kaenda kujicholesha bora angeuchubua.
Kaja kuwakumbusha Wana Kigoma kuwa ile Nundu ya Makamba ni kichapo cha Jiwe alichokipata hapo Kigoma, Mwandiga, siku akibaka katoto ka watu. Ka binti ka Kiha, kakamtandika na Jiwe. Ila Mjeshi Mwislaam akakadhibiti na KUKA-Dondokea.
Kigoma ni kwetu baba hapo walisha msoma nyendo zake zote, wanamuelewa ni balaa, wala asijidanganye kuwa kwa yeye hapo kgm mjini eti ana kula, muulizeni madiwani wa chadema mjini ni wangapi na yeye alipata kula ngapi?. Walipofariki wafuasu wa chadema hapo ujiji mbona hakuonekana. Unajua hiyo ndiyo ajira yake iliyobaki kwa sasa kwahiyo kuzunguuka kwake nchini hatumshangai. Sijasikia tatizo hata moja analotoa solution yeye ni mzee wa kulalamika. Kigoma siasa ya upinzani tumeijua yeye bado ni padre.achukue zake time Kg(Lwama) hatuhitaji wanafiki, na anaona aibu kwa alivyotaka kujifanyisha kwa mbunge wetu Zitto.
otea anaangalia upande gani?
Mkuu kungekuwa kuna uwezekano ningekugongea Thanks Mara 10Hahaha mi nashangaa sana hawa mamluki wamezaliwa mwaka gani maana woooote 2011..Tena JF inapata bad impression these days kwa sababu yao... Huu mwaka mkosi nilitaka kuoa lakini kama wanawake wenyewe ndo hawa basi tena naahirisha....
MAK Join Date : 23rd February 2011
Posts : 147
Thanks
28
Thanked 22 Times in 20 Posts
Rep Power : 21
NDUKA Join Date : 25th February 2011
Posts : 163
Thanks
3
Thanked 14 Times in 7 Posts
Rep Power : 21
KASHAGA Join Date : 20th January 2011
Location : Soweto
Posts : 286
Thanks
85
Thanked 56 Times in 39 Posts
Rep Power : 21
haaaaaaahaa Nduka we ni noma kimsingi nakukubali sana,u always make me happy with ur posts! tuko pamoja kaka mpaka kieleweke! ALUTA CONTINUA
Pamoja mkuu, nakuheshimu sana jeshi la mtu mmoja wanakutambua.
hata zile kula chache alizozipata ile ilikuwa ni trela asubiri mkanda wenyewe atajuta kuzaliwa. na ataomba bora arudi kanisani awe padri.Kwa yeye kuanzia kanisani kisha kashindwa na kurudi ulaiani halafu ulaiani kwenyewe kafika anaendeleza kamata kamata ya watotozi kiasi kwamba hata kuoa kashindwa inamuonesha kuwa ni muovu ktk imani yake. mwambieni ajisafishe kwanza kisha aoe maana uzee huo.Yaani jamaa yenu kwenda KG(Lwama) kaenda kujicholesha bora angeuchubua.
Hiyo siyo nundu ni king'amuzi cha ki-intelijensia ku-ditect wabaya wa CCM.