Asubuhi hii kwenye mtandao wa kijamii wa twitter Dr Slaa ametweet hivi:
"Watanzania wataichukua nchi yao mwaka 2015.Tuzidi kuungana tukielekea kukamilisha azma ya kuikomboa upya nchi yetu.Nawatakia Jumapili njema."
Asubuhi hii kwenye mtandao wa kijamii wa twitter Dr Slaa ametweet hivi:
"Watanzania wataichukua nchi yao mwaka 2015.Tuzidi kuungana tukielekea kukamilisha azma ya kuikomboa upya nchi yetu.Nawatakia Jumapili njema."
Nadhani anamananisha kuwa CDM itatoa somo la nguvu leo hii katika uchaguzi unaondelea hivi sasa na kisha baadae 2015 waungwana wote wanajua kura zao wapeleke wapi?????
Bado2 anauota urais? namuona kama ni mtu aliyechangia kuharibu maadili ya watanzania kudharau vyombo vya sheria na mamlaka zilizowekwa kwa mujibu wa sheria
Naona yuko kambi ya Lowasa, anaganga njaa
Bado2 anauota urais? namuona kama ni mtu aliyechangia kuharibu maadili ya watanzania kudharau vyombo vya sheria na mamlaka zilizowekwa kwa mujibu wa sheria
Huyu ndiye dr.wa ukweli na rais wetu wa moyoni