Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
vp kuhusu kikwete na speech yake?kwamba mabomu ya GMT yalilipuka usiku wa tarehe 17 badala ya 16?? mbona hukuanzisha thread kuhusu hilo??au nawwewe ni kilaza tu kama JK???
bora hiyo ya tarehe anaweza kusema typing error na yeye kichwa chake kina mambo mengi kujua tukio la kitaifa kama lile na kusahihisha hata kama ilikuwa ni typing error.
Kilichoniuma kwenye hii spichi ya raisi wa TBC na MAFISADI ni kuona hasara kubwa iliyopatikana kwenye tukio la gongolamboto ni yale mabomu kwanza na sio watu, yani kama sio binadamu vile hata kama anaandikiwa spichi ila huyu kazidi, full kilaza