Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Yohana Balele kuwa amefariki. Binafsi nilipata na mshtuko lakini nikasema na kujipa moyo kuwa kazi ya Mola haina makosa. Cha ajabu, leo ninaangalia habari TBC1, RPC wa Shinyanga amekanusha habari hiyo na kusema si kweli.
Swali la kujiuliza ni kuwa je Dr alikuwa na nia gani kuzusha kifo? Najua walamba viatu wake wataibuka na kunishambulia.
Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Yohana Balele kuwa amefariki. Binafsi nilipata na mshtuko lakini nikasema na kujipa moyo kuwa kazi ya Mola haina makosa. Cha ajabu, leo ninaangalia habari TBC1, RPC wa Shinyanga amekanusha habari hiyo na kusema si kweli.
Swali la kujiuliza ni kuwa je Dr alikuwa na nia gani kuzusha kifo? Najua walamba viatu wake wataibuka na kunishambulia.
Unaogopa kumuita Sr Slaa ni Muongo kwa sababu unajua nini nini kina mkabili PINDA huko bungeni, ukweli ni kuwa hiyo taaarifa haikutoka kwa Slaa alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara na yeye alisema kabisa kuwa kuwa amepata ujumbe kwenye simu yake kuwa kuna taarifa kuwa "Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Yohana Balele amefarikid dunia" sasa hapo mkweli ni nani na muongo ni nani, he was just conveying a message aliyoipata, utaona kama kutakuwa na kesi ya kujibu, ukweli ni kwamba TBC ni chombo cha propoganda cha CCM, kama unafuatilia hakuna habari ya CDM ambayo ni Positive imetangazwa na TBC tangu maandamano yaanzae, isipokuwa leo wanataka kumfanya DR ni Muongo kwa kumleta Polisi aongee kwenye Tv ya taifa, wala sio kuonyesha mikutano ya CDM , Muongo anajulukana ni WAziri Mkuu aliongopea bunge Dodoma
Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Yohana Balele kuwa amefariki. Binafsi nilipata na mshtuko lakini nikasema na kujipa moyo kuwa kazi ya Mola haina makosa. Cha ajabu, leo ninaangalia habari TBC1, RPC wa Shinyanga amekanusha habari hiyo na kusema si kweli.
Swali la kujiuliza ni kuwa je Dr alikuwa na nia gani kuzusha kifo? Najua walamba viatu wake wataibuka na kunishambulia.
Ina maslahi ndo maana Mh Padri Slaa akawa radhi kushuhudia uongo.partial crap! Hujaona issues pertinent za kudiscuss? Ina maslahi gani kwa future ya nchi yetu?...Punguzeni bei ya sukari kama mlivyoahidi, trivial issues waachieni Uswazi!
uwe na heshima kwa walio kuzidi umri, usiwe mpumbavu.Ukihoji sana mambo ya slaa utapigwa ban. Niliwahi kusema huko nyuma kwamba lolote atalosema au kufanya watafurahia hata kama kakosea. Hata akifanya mambo ya toilet hadharani watashangilia dr! dr! Dr! Leo kuchukua mke wa mtu linaonekana jambo halali na lisilo tatizo lolote ktk jamii. Bado wanampa heshima ya udr wa 'ukweli' wa alichosomea
Ukihoji sana mambo ya slaa utapigwa ban. Niliwahi kusema huko nyuma kwamba lolote atalosema au kufanya watafurahia hata kama kakosea. Hata akifanya mambo ya toilet hadharani watashangilia dr! dr! Dr! Leo kuchukua mke wa mtu linaonekana jambo halali na lisilo tatizo lolote ktk jamii. Bado wanampa heshima ya udr wa 'ukweli' wa alichosomea
Ukihoji sana mambo ya slaa utapigwa ban. Niliwahi kusema huko nyuma kwamba lolote atalosema au kufanya watafurahia hata kama kakosea. Hata akifanya mambo ya toilet hadharani watashangilia dr! dr! Dr! Leo kuchukua mke wa mtu linaonekana jambo halali na lisilo tatizo lolote ktk jamii. Bado wanampa heshima ya udr wa 'ukweli' wa alichosomea
Katika mila zetu ni mwiko kumuita mtu aliyekuzidi umri muongo. Kwa minajili hiyo, kwa leo sitamuita Dr Slaa kuwa ni muongo ila ninasema kuwa si mkweli. Jana ametangazia umma kuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Yohana Balele kuwa amefariki. Binafsi nilipata na mshtuko lakini nikasema na kujipa moyo kuwa kazi ya Mola haina makosa. Cha ajabu, leo ninaangalia habari TBC1, RPC wa Shinyanga amekanusha habari hiyo na kusema si kweli.
Swali la kujiuliza ni kuwa je Dr alikuwa na nia gani kuzusha kifo? Najua walamba viatu wake wataibuka na kunishambulia.