Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Mbona mshahara wake na posho kwa sh mil 7 hajasema,aache kurusha mawe wakati yupo kwenye nyumba ya vioo
Kwa akili yako slaa bado ni mbunge eeh?Masaburi yako
Mbona mshahara wake na posho kwa sh mil 7 hajasema,aache kurusha mawe wakati yupo kwenye nyumba ya vioo
"waliwashindisha kwa kishindo na sasa tunatandikwa watanzania wote kwa kishindo hicho hicho" DR P.W Slaa
sifikiri kama atakuwa jipya zaidi ya kuanza kulia kodi za mshahara wake anaopokea.
Yeye anapata zaidi ya wabunge. Tsh milioni sabaa sio mchezo
Mshahara wake wa milioni 7 kwa mwezi na posho, ambao haulipiwi kodi nao kautolelea ufafanuzi?
Tatizo la pro-Chadema JF ni upeo wa kupambanua mambo..
Hawataki kabisa watu wahoji mshahara wa Dr. Slaa pamoja na posho zake anazopewa Chadema, lakini wanataka Dr.Slaa yeye ndio awe mwenye mamlaka yakuhoji posho za wengine..
Mimi binafsi lazima nihoji posho zote ikiwemo mshahara wa Dr. Slaa sababu ndani hizo posho mishahara kuna kodi yangu nalipa serikali kuu
Mwalimu Nyerere katuachia kazi kweli...kichwa kama hiki kinadhani kodi wanalipa matajiri tu...
Mkuu hata wewe ukinunua Soda, Sabuni, Vocha za simu, Mkate, Unga, Chumvi, unalipa kodi!
Ungekua unalipa kodi usingekua na maneno ya kipuuzi hivyo.Nijiheshimu vipi mkuu, wakati
naulizia matumizi ya kodi yangu nayolipa serikali kuu?
mshahara wa dr.salaa upunguzwe...whatever you call it mshahara,posho etc etc,unamnyima somehow moral authority ya kuzungumzia mishahara ya wabunge...labda anielimishe mtu otherwise
mkuu ritz unga ni exempt supply(kama sio zero rated)haulipiwi VAT unless ukiwa kwenye package...correct me if iam wrong
Mshahara wake wa milioni 7 kwa mwezi na posho, ambao haulipiwi kodi nao kautolelea ufafanuzi?
He is the only "God sent" person after Nyerere!
Dr Slaa alitakiwa alipwe zaidi ya yule zoba pale magogoni...Mshahara wake wa milioni 7 kwa mwezi na posho, ambao haulipiwi kodi nao kautolelea ufafanuzi?