Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
WanaJF katika kufunga kampeni za jimbo la Arumeru Dr. W. P. Slaa alizungumzia kashfa kubwa sana juu ya rais mstaafu Benjamin W. Mkapa alisema wapinzani ni vifaranga!!!! Kauli hiyo ilikuwa ni kejeli na dharau kwa wapinzani jambo ambalo Dr. W. P.Slaa aliona asilifumbie macho na kuamua kumlipua katika mkutano uliofanyika USA kabla ya kwenda kuhitisha kampeni katika viwanja vya Patandi USA ambapo ilikuwa ni funiko bovu kwa jinsi watu walivyoitikia wito.
Hebu msikilize Dr. Slaa akimkaanga BWM.
Namshauri Mkapa kuachana na siasa ambazo hazina tija kwake hasa ukizingatia siyo kiongozi aliyekuwa msafi sana alipokuwa Ikulu yetu.
Nawakilisha.
Hebu msikilize Dr. Slaa akimkaanga BWM.
Namshauri Mkapa kuachana na siasa ambazo hazina tija kwake hasa ukizingatia siyo kiongozi aliyekuwa msafi sana alipokuwa Ikulu yetu.
Nawakilisha.
Last edited by a moderator: