coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Siaza za "Maji taka" zilizoanzishwa na CCM zimemuweka Dr. Slaa kivutio katika magazeti mengi nchini kwa takribani siku kadhaa na kuzika taarifa nyingi za mpinzani wake JK.
Wadau hiyo ina manufaa au hatari gani kwa Dr. Slaa KISIASA na hasa katika KURA tar 31??
Wadau hiyo ina manufaa au hatari gani kwa Dr. Slaa KISIASA na hasa katika KURA tar 31??