kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
tetesi eti, Dr sasa jimbo la igunga ni lake kwa hivyo kale ka mkakati ka shibuda kutoa nafasi katakuwa basi japo pale igunga Dr atafanya kazi sana kuwashawishi wale wapiga kura.
Wadau hivi kwa alichofanya RA mnafikiri kinatija kwa Taifa na je vp? Kuhusu jimboni kwake wanapomlilia?
Wadau hivi kwa alichofanya RA mnafikiri kinatija kwa Taifa na je vp? Kuhusu jimboni kwake wanapomlilia?