Dr. Slaa Atakapokuwa Rais

Salimia

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
665
103
Ninamheshimu sana Dr.W.Slaa kwa utendaji uliotukuka na moyo alioonesha wa uzalendo. Ndiyo maana kila wakati napenda kutoa angalizo kwake kuhusu uhakiki wa habari kabla hajazitolea tamko. Nasema hivi kwa sababu pindi atakapokuwa Rais, itakuwa aibu kubwa kwa Taifa Tanzania kuwa na kiongozi anayekurupuka katika kauli zake. Ni aibu sana.
Pata picha Dr.Slaa anahutubia UN pale New York halafu anatoa statements ambazo ni za kubahatisha, dunia itatuangalia kwa jicho gani? Au utakuwa ndiyo wakati sasa Tanzania ikiwa ni zamu yake kuhutubia,wajumbe wanaona ndiyo muda muafaka wa kuvuta sigara nje? Ndiyo!! wenzetu wanathamini sana taarifa zilizo sahihi na kuhakikiwa.
W.Slaa bado anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha katika kutoa kauli ambazo zinaleta upotoshaji. Huhitaji kutoa kauli za kubahatisha ili hadhira ikukubali,, toa tu taarifa sahihi watu watakupenda bado. Akiweza hilo, sifa zingine tayari anazo.
Huwa nashangaa pindi tunapoandika posts za kumkosoa Dr.SLAA zinafutwa au kutishiwa kufungiwa, na kumwagiwa matusi kedekede. Kumkosoa Slaa ni kumjenga na kumsaidia. Sasa ikiwa tutamsifia tu, si yatakuwa yaleyale, mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Sasa kama unaogopa kumkosoa au kumpa ushauri leo,, akiwa Rais utaweza?
Tujenge utamaduni wa kukosoa viongozi pasina woga wala uadui.
 
hahahaha pole uenda uwa auko makini kwenye usikilizaji wa hotuba za slaa au popote pale anapokuwa anazungumzia jambo lolote uwe unakuwa makini
 
Ninamheshimu sana Dr.W.Slaa kwa utendaji uliotukuka na moyo alioonesha wa uzalendo. Ndiyo maana kila wakati napenda kutoa angalizo kwake kuhusu uhakiki wa habari kabla hajazitolea tamko. Nasema hivi kwa sababu pindi atakapokuwa Rais, itakuwa aibu kubwa kwa Taifa Tanzania kuwa na kiongozi anayekurupuka katika kauli zake. Ni aibu sana.
Pata picha Dr.Slaa anahutubia UN pale New York halafu anatoa statements ambazo ni za kubahatisha, dunia itatuangalia kwa jicho gani? Au utakuwa ndiyo wakati sasa Tanzania ikiwa ni zamu yake kuhutubia,wajumbe wanaona ndiyo muda muafaka wa kuvuta sigara nje? Ndiyo!! wenzetu wanathamini sana taarifa zilizo sahihi na kuhakikiwa.
W.Slaa bado anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha katika kutoa kauli ambazo zinaleta upotoshaji. Huhitaji kutoa kauli za kubahatisha ili hadhira ikukubali,, toa tu taarifa sahihi watu watakupenda bado. Akiweza hilo, sifa zingine tayari anazo.
Huwa nashangaa pindi tunapoandika posts za kumkosoa Dr.SLAA zinafutwa au kutishiwa kufungiwa, na kumwagiwa matusi kedekede. Kumkosoa Slaa ni kumjenga na kumsaidia. Sasa ikiwa tutamsifia tu, si yatakuwa yaleyale, mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Sasa kama unaogopa kumkosoa au kumpa ushauri leo,, akiwa Rais utaweza?
Tujenge utamaduni wa kukosoa viongozi pasina woga wala uadui.

This is just a wind,

Unachosema kuhusu Slaa ni kweli, tumeliona na angalizo lako ni sahihi kabisa, you have dared.

Sidhani kama JF huwa wanafuta thread za Slaa kama anakosolewa, labda huwa wanazi-unganisha na thread nyingine au kuhamisha jukwaa.

Kuhusu hawa watanzania wenzetu wenye kumuabudu Slaa waache ni wakati wao na ubongo wao unawatuma hivyo. wako tayari kutukana, kusema lolote lile ili mradi tu wanayempenda aonekane msafi.

Uwe huru kusema, utasemwa kila aina ya maneno, lakini ukisema ujumbe unakuwa umefika, JF si jukwaa pekee la kupeleka au kutoa mawazo yako, ziko blogs, forums, na njia nyingi za kupeleka mawazo na huwa nasema kila siku KAMA MTU FULANI HATAAMKA NA KUJIBU HOJA! basi tayarisho la anguko la wanaotetewa ni kubwa mno kuliko success.
 
Mkuu hilo mimi sijawahi kulisikia labda ungetoa mifano ya kauli hizo tupime na sisi, labda uelewa wako na wengine waweza kutofautiana. Tupia hizo kauli hapo tutathimini wote
 
Sijui mmetumwa na nani maana wote mnaandika tread zenu kwa kuanza na "namheshimu sana Dr Slaa". Tumeshawastukia! Nawaonea huruma sana maana mnapoteza muda wenu bure, unless U r paid. Dr Slaa hajatangaza nia wala kusema popote pale kwamba atagombea urais mwaka 2015 tayari mmeanza kuhangaika. Nakushauri ukakae ujipange kuchukua fomu ya kugombea uraisi kwa chama chako maana hakuna tena anayefaa kugombea! Looser....
 
Hii thread ngoja tuwaachie makambale, bwashehe, rizi1, na vitoto vinngine vya mafisadi wanomuona Dr. wa Ukweli Slaa kama panga la moto ukizingatia ndio mafisadi wa taifa la kesho.
Endeleeni kupeana moyo.
 
Ninamheshimu sana Dr.W.Slaa kwa utendaji uliotukuka na moyo alioonesha wa uzalendo. Ndiyo maana kila wakati napenda kutoa angalizo kwake kuhusu uhakiki wa habari kabla hajazitolea tamko. Nasema hivi kwa sababu pindi atakapokuwa Rais, itakuwa aibu kubwa kwa Taifa Tanzania kuwa na kiongozi anayekurupuka katika kauli zake. Ni aibu sana.
Pata picha Dr.Slaa anahutubia UN pale New York halafu anatoa statements ambazo ni za kubahatisha, dunia itatuangalia kwa jicho gani? Au utakuwa ndiyo wakati sasa Tanzania ikiwa ni zamu yake kuhutubia,wajumbe wanaona ndiyo muda muafaka wa kuvuta sigara nje? Ndiyo!! wenzetu wanathamini sana taarifa zilizo sahihi na kuhakikiwa.
W.Slaa bado anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha katika kutoa kauli ambazo zinaleta upotoshaji. Huhitaji kutoa kauli za kubahatisha ili hadhira ikukubali,, toa tu taarifa sahihi watu watakupenda bado. Akiweza hilo, sifa zingine tayari anazo.
Huwa nashangaa pindi tunapoandika posts za kumkosoa Dr.SLAA zinafutwa au kutishiwa kufungiwa, na kumwagiwa matusi kedekede. Kumkosoa Slaa ni kumjenga na kumsaidia. Sasa ikiwa tutamsifia tu, si yatakuwa yaleyale, mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Sasa kama unaogopa kumkosoa au kumpa ushauri leo,, akiwa Rais utaweza?
Tujenge utamaduni wa kukosoa viongozi pasina woga wala uadui.

Hoja zako ni nzuri sana kimaudhui, kimantiki na kimukitadha lakini tatizo lako ni msingi wa hoja zako. Kimsingi hoja zako hazijatokana na nia njema bali zimesukumwa na maslahi binafsi ndio maana kuna logical contradictions in you arguments.
 
Mbona jk wakati wa kampeni alisema hata pandisha gharama za umeme , kwenye salam za mwaka mpya akasema halikwepeki, juzi anawataka wapunguze
 
he will never b a president of this country tz,
source_daily news
Unaonyenyesha nijinsi gani ulivyo na vikra za maa ka lio! Unaomba kusaidiwa kutotolewa ombwe kwenyo bongo yako habari za gazeti la familia ya kikwete unazifanya kuwa alama ya akili yako? Pole sana
 
Matamko ya Dr Slaa ni ya kweli, wale wanaosema si ya kweli ndio wanaopaswa kututhibitishia uongo huo, na kutupa ukweli mbadala.
Mfano wa kauli na matamko mengi yasiyo na ukweli ni yale yanayotolewa na jk. leo anasema hiki kesho anageuza. Angalia kupishana kulikopo katika serikari; Magufuli anasema bomoa Pinda anasema sitisha. Je hapo nani mkweli.
Dr Slaa anasaidia kuibua yale ambayo watawala hawataki yajulikane na jamii ya watanzania wanyonge.
Atakapo kuwa raisi atakuwa na uwezo zaidi wa kutoa matamko yenye nguvu, ushawishi na suluhu kwa matatitzo ya watanzania na hata dunia.
 
Ninamheshimu sana Dr.W.Slaa kwa utendaji uliotukuka na moyo alioonesha wa uzalendo. Ndiyo maana kila wakati napenda kutoa angalizo kwake kuhusu uhakiki wa habari kabla hajazitolea tamko. Nasema hivi kwa sababu pindi atakapokuwa Rais, itakuwa aibu kubwa kwa Taifa Tanzania kuwa na kiongozi anayekurupuka katika kauli zake. Ni aibu sana.
Pata picha Dr.Slaa anahutubia UN pale New York halafu anatoa statements ambazo ni za kubahatisha, dunia itatuangalia kwa jicho gani? Au utakuwa ndiyo wakati sasa Tanzania ikiwa ni zamu yake kuhutubia,wajumbe wanaona ndiyo muda muafaka wa kuvuta sigara nje? Ndiyo!! wenzetu wanathamini sana taarifa zilizo sahihi na kuhakikiwa.
W.Slaa bado anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha katika kutoa kauli ambazo zinaleta upotoshaji. Huhitaji kutoa kauli za kubahatisha ili hadhira ikukubali,, toa tu taarifa sahihi watu watakupenda bado. Akiweza hilo, sifa zingine tayari anazo.
Huwa nashangaa pindi tunapoandika posts za kumkosoa Dr.SLAA zinafutwa au kutishiwa kufungiwa, na kumwagiwa matusi kedekede. Kumkosoa Slaa ni kumjenga na kumsaidia. Sasa ikiwa tutamsifia tu, si yatakuwa yaleyale, mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Sasa kama unaogopa kumkosoa au kumpa ushauri leo,, akiwa Rais utaweza?
Tujenge utamaduni wa kukosoa viongozi pasina woga wala uadui.

Mimi nakushauri ni bora uwahi mapemaaaa kwenda kupanga foleni kwa babu ili upate Kikombe chako kabla hali yako haijawa mbaya zaidi wahi haraka sana
 
Ninamheshimu sana Dr.W.Slaa kwa utendaji uliotukuka na moyo alioonesha wa uzalendo. Ndiyo maana kila wakati napenda kutoa angalizo kwake kuhusu uhakiki wa habari kabla hajazitolea tamko. Nasema hivi kwa sababu pindi atakapokuwa Rais, itakuwa aibu kubwa kwa Taifa Tanzania kuwa na kiongozi anayekurupuka katika kauli zake. Ni aibu sana.
Pata picha Dr.Slaa anahutubia UN pale New York halafu anatoa statements ambazo ni za kubahatisha, dunia itatuangalia kwa jicho gani? Au utakuwa ndiyo wakati sasa Tanzania ikiwa ni zamu yake kuhutubia,wajumbe wanaona ndiyo muda muafaka wa kuvuta sigara nje? Ndiyo!! wenzetu wanathamini sana taarifa zilizo sahihi na kuhakikiwa.
W.Slaa bado anayo nafasi nzuri ya kujirekebisha katika kutoa kauli ambazo zinaleta upotoshaji. Huhitaji kutoa kauli za kubahatisha ili hadhira ikukubali,, toa tu taarifa sahihi watu watakupenda bado. Akiweza hilo, sifa zingine tayari anazo.
Huwa nashangaa pindi tunapoandika posts za kumkosoa Dr.SLAA zinafutwa au kutishiwa kufungiwa, na kumwagiwa matusi kedekede. Kumkosoa Slaa ni kumjenga na kumsaidia. Sasa ikiwa tutamsifia tu, si yatakuwa yaleyale, mgema akisifiwa tembo hulitia maji? Sasa kama unaogopa kumkosoa au kumpa ushauri leo,, akiwa Rais utaweza?
Tujenge utamaduni wa kukosoa viongozi pasina woga wala uadui.

Hoja zako ni nzuri lakini bahati mbaya hapa jf dr slaa ni malaika na hawezi kukosea.na ni dhambi hata kumteta.sorry umepotea njia
 
hahahaha pole uenda uwa auko makini kwenye usikilizaji wa hotuba za slaa au popote pale anapokuwa anazungumzia jambo lolote uwe unakuwa makini

Anasoma UHURU na HABARI LEO na kuangalia TBC1 ili apate habari za Dr Slaa
 
Dr Slaa ni mtu makini sana mkuu, hapa nadhan umetumwa na hao CCM, tumekushtukia na ushindwe na ulegee, slaa sio mtu wa kukurupuka mkuu, ni mtu makin, mwangalifu anayejua anafanya nn na hazungumzi kwa vile ipo kuzungumza tu, Ni hoja ipi huyu Dr wa ukwel Slaa ametoa na serikal ya CCM wakajibu kwa hoja zaid ya kutoa majib ya hovyo hovyo tu. Mkuu ee wahi kwa babu kama baadhi ya wadau wlivyokushauri
 
Kama vilaza Pinda na Kikwete walihutubia UN na IQ zao za kuku atashindwa Dr wa ukweli... Hivi Kikwete kila siku tunasikia akitoa kauli tata na asizofanyia utafiti, anayedanganywa kwa sababu ya uelewa wake mdogo si amekuwa rais kwa miaka 6 sasa, au unamaanisha nchi inajiendea yenyewe bila rais?
 
Back
Top Bottom