Dr. Slaa ashindwa kung'ara Shinyanga

CHADEMA SIO CHAMA CHA
WANENGUAJI HATA UTARAJIE KUONA MANJONJO YAO, CHADEMA KINAMWAGA SERA TU.

Kama unataka kuona manjonjo nenda kwenye mikutano yenu magamba utawakuta
ZE COMEDY, WANAUMEFAMILY, TAARABU(T.O.T) na wasanii wengine kibao
wakionesha manjonjo kwa lengo la kuwasahaulisha watanzania matatizo yao
ya ugumu na kupanda kwa gharama za maisha yanayoendelea kuwakabili kwa
miaka 50 sasa.

kamanda umemsahau "AFANDE SELE NA SUGU" pia kwa magamba huwa wanaonesha manjonjo
 
Yaan hiki kiwanda sijui kama jk ame kiweka kwenye list.

Sijui ulitaka waimbe taarabu badala ya kutoa hotuba?
Katika hali isiyokuwa ya kutarajiwa Katibu mkuu wa Chadema na wapambe wake wameshindwa kuonyesha manjonjo yao kwenye kampeni yao ya kumnadi mgombea wao wa udiwani kama walivyo kuwa wanatarajia. Hata kama mnafuatilia waliokuwa wanatujuza waliishia kutuletea picha za kiongozi huyo maarufu wa kisiasa akiwa sokoni tu.
 
kama huna cha kuandika si ukae kimya hivi kwa hali ya Tanzania sasa hivi tunahitaji manjonjo kweli?
 
Kwani kuleta manjonjo uwanjani ndio kushinda? R.ip mashetani ya nyinyiemu na wafuasi wako woote
 
porojo za uamsho.
huyo jamaa rtz leo sijamuona kabisa kuna thread ya kamanda wetu kuchomwa mkuki shinyanga na watu wake wa lumumba na wale majambazi ya nyinyiemu hapo shinyanga, yeye na zomba, na vijana woote wa nyinyiemu wanaichungulia hiyo thread kwa mbali, na wanachanganyikiwa watu wanavyotoa madata ya kutisha juu ya hayo majambazi ya sisiemu hapo shinyanga kuwa ndio wanahusika, akiwemo mtoto wa meya na huyo jambazi muuaji wao ndio katibu mwenezi wa mkoa.... Hawa jamaa wanapenda sana mauaji... Mungu awalipe kwa kuwakata ****** woote manaopenda mauji ya nyinyiemu
 
kwa mategemeo ya kupata khanga, vitenge, leso, kofia, na mengine ya tumbo, namaaanisha pilau na magari ya bure kuwazungusha huku na huku nadhani ni kweli yalikua ni manjonjo ya wanamanjonjo lakini kwa wanachadema wanajua siasa shirikishi, ikiwa na maana kuchangia katika yote, hali na mali, sishangai kusikia hivo
 
Wapuuzi wengi hupenda kusifiwa haya kwa wadiostahili,wapuuz huchukia ukweli. Call a spade a spade and not a big spoon. Acheni ujuha, km kiongoz wetu hakuleta hamasa ktk kiwango kilichotarajiwa bac tutafte njia ya kutatua tatzo na sio kutaka kusifiwa mda wote km serikali ya sisiem


Mkuu acha kupotoshwa na propaganda za ccm zisizo na mashiko na wala haziwezi badilisha ukweli...Siku 2 za mikutano ya SLAA pale kata ya Mwawaza-Shinyanga na siku 2 npale kata ya Bugarama -Kahama,Shinyanga zimeacha gumzo mpaka sasa...nisiseme sana but from the bottom of my heart...hizi kata zote zinakwenda cdm...bila kusahau Lwenzera-Geita ambako Slaa alipiga kambi siku 2 pia....Tukutane hapa jamvini Jumapili(28.10.2012)
 
Mkuu acha kupotoshwa na propaganda za ccm zisizo na mashiko na wala haziwezi badilisha ukweli...Siku 2 za mikutano ya SLAA pale kata ya Mwawaza-Shinyanga na siku 2 npale kata ya Bugarama -Kahama,Shinyanga zimeacha gumzo mpaka sasa...nisiseme sana but from the bottom of my heart...hizi kata zote zinakwenda cdm...bila kusahau Lwenzera-Geita ambako Slaa alipiga kambi siku 2 pia....Tukutane hapa jamvini Jumapili(28.10.2012)
Well said mkuu
 
36942_06__32675.jpg

Aisee hili Njonjo la wapi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom