Stupid constitutionJP, nadhani tume ikishatangaza matokeo ya Urais, hakuna anayeruhusiwa kupinga kikatiba, wala mahakama haiwezi kutengua.
Stupid constitutionJP, nadhani tume ikishatangaza matokeo ya Urais, hakuna anayeruhusiwa kupinga kikatiba, wala mahakama haiwezi kutengua.
jp, nadhani tume ikishatangaza matokeo ya urais, hakuna anayeruhusiwa kupinga kikatiba, wala mahakama haiwezi kutengua.
utajijuu!kelele zamlango haziinyimi ccm kutawala, ukisusa wenzio twalaC.C.M - Chama Cha Mafisadi, Chama Cha Majambawazi, Chama Cha Matapeli, Chama Cha Majungu, Chama Cha Mawitches, Chama Cha Matourists, Chama Cha Machakachuaji - Purged forever, need you no more. Wasanii wakubwa nyie alaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unahisi kama Upo Kenya vile...sio uchochezi huo?
...ukishamaliza kutumika kama wale wapuuzi wenzako utawekwa kapuni na kutulia kama tikiti maji linalosubiri wanunuzi.zubeda umenena,nahii Itv chadema wana shea au vp?mana hata wakat wakampeni walikua ni kupigia debe chadema na slaa,bahat yao jk hana visasi wangekoma itv ungekua ule utawala wa big ben che nkapa.
this will be cicim chance to come clean for sure. If they don't respect people's will this will be their final verdict.
once the opposition party get the presidency in the future, all these fisadi's will go to jail. I will not care if they are 90yrs old or they were leaders. They will all have to answer their wrong doings they have been doing all along.
Tired of these f#%&n bs.
Wewe vipi bwana! hazilinganishwi kura na wingi wa watu mikutanoni, kinachobishaniwa ni ripoti za data kutoka kwa mawakala wa vyama na kinachotangazwa na NEC kuwa tofauti tena kubwa na isiyo ya bahati mbaya ila yenye makusudi.Ni kweli matokeo hayako sawa na mahudhurio ya mikutano... mlidhani kila aliyekuwa anakuja kwenye mikutano amewapigia kura? I question uzalendo wa Dr. Slaa.
Acha ishuke kuliko kuikuza kwa unafiki kwa kukubali yaishe kama seif, hata credibility ya Mandela ilishuka baadaye ikapanda.Jamaa amejishusha credibility like big time... nampa pole sana kwa kweli...
Mwambieni aache usss+n+e. Kupinga matokeo sio ishu. Ishu ni je ana mpango gani? Mmevuna mlichopanda. Mmepiga kambi mijini na kura mmezipata. Kulikobaki CCM wamewapiga bao.
You don't need a PhD kuona kwamba strategy yenu haikutoa kura za kutosha. Sasa yeye anapinga matokeo kwenye TV? Au anataka kukusanya vijana wake waandamane mitaani kutuharibia amani yetu.
hana lolote! urais kwa kura zipi, mpeni kura zilizopigwa JF zimuongezee, mmemlostisha mwenzenu mnadhani kuandika, kuchochea kushinda na kulala JF ndio kutampa urais,
dk slaa jua nguvu ya umma ya jk ipo nyum yake. tukianza kuandamana morogoro, tanga, pwani na wkengine kumuunga mkono jk utabadili kauli yako?
Uchochezi ndio nini?! Yaani mtu anakudhulumu haki yako ukimpinga eti uchochezi!! Mat***ko yako!