Hivi sasa ITV inapitisha tangazo kuwa Dr. Slaa amepinga matokeo ya Uraisi kuwa yamechakachuliwa na NEC na kuwa hayana uhusiano wowote ule na maamuzi ya wapigakura kura...........
uchochezi ndio nini?! Yaani mtu anakudhulumu haki yako ukimpinga eti uchochezi!! Mat***ko yako!
zubeda umenena,nahii Itv chadema wana shea au vp?mana hata wakat wakampeni walikua ni kupigia debe chadema na slaa,bahat yao jk hana visasi wangekoma itv ungekua ule utawala wa big ben che nkapa.akapinge matokeo mahakamani sio ktk itv!!!
ni uchochezi rasmi, uchu wa madaraka, kutojiamini, na kutoitakia salama nchi hii. sijali watu kuchukia juu ya hilo. ila alie msafi na awe wa kwanza kutupa jiwesio uchochezi huo?
sio uchochezi huo?
akapinge matokeo mahakamani sio ktk itv!!!
Sasa aingie mtaani aone kilichomtoa kanga manyoya,teh teh teh.
Sio kutuvuruga huko? Ushindi wote huo haamini?
tutanata aende mahakamani na co blabla..................2...............
zubeda umenena,nahii Itv chadema wana shea au vp?mana hata wakat wakampeni walikua ni kupigia debe chadema na slaa,bahat yao jk hana visasi wangekoma itv ungekua ule utawala wa big ben che nkapa.