Tume iliambiwa na JK,Kinana,Makamba na Usalama wataifa wamtangaze KIKWETE ,KIKWETE ni raisi wa tume sio wa watanzaniaMsimlinganishe Slaa na Quattara. Quattara yeye alitangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa ndio mshindi , je Slaa alitangazwa hivyo???. Ndio maana Jumuiya ya Kimataifa imeisha toa kauli mbali mbali za kumshutumu Bagbo na kumtambua Quattara, je kwa Tanzania waliisha mshutumu JK na kumtambua Slaa???. Hii ina maana hata waangalizi wao waliona uchaguzi ulikuwa wa huru na wa haki, na lolote atakalo sema watampuuza tu.