Dr. Slaa aonekana kuufyata mkia na kumkubali JK...kimyakimya....................

<p>
Unachofanya hapa unatetea uozo wa kukalia haki na hivyo kutoa mfano mbaya kwa jamii kuwa ukionea wewe jitulize kasuku....................<b>.huo ni uzembe gani.</b>.........................<font color="red">Those are signatures of a poor leader</font>.................
</p>
<p>&nbsp;</p>
Nani amekwambia dr Slaa ametulia. Tusichanganye mtu kukaa kimya na mtu kutulia. Nadhani ni vyema ukatafakari unayoyasema na kuangalia mambo kwa mapana yake, and move beyond tactics to strategy. Asante mkuu.
 
Dr. Slaa's best weapon are the courts of law...................silence means poor leadership.................If Dr. Slaa can't stand the heat he has no reason to complain...................hence he has no business being in the kitchen...................He impresses upon me as a whiner.....but nothing else....
Whilst I partly concur with what you are saying, wd stop short at the suggestion that Slaa can go all out and make big decisions singlehandedly without his party's consent. He's smarter than that - which doesnt make him a "whiner" as you are portraying him to be.

Slaa is a true democrat and am sure under no circumstances he would be swayed from that course. As an outsider, I have personally been impressed by Chadema's internal level of democracy.......see, people like Zitto have the luxury of even talking negatively about their own party without a single head rolled.
Do that to CCM, TLP, etc - you will see!!

Am sure Dr Slaa is too smart to blindly start being the architect of those palavers that would allow the Zitto's of this world have a go at it....one needs analysing all the risks involved and I am inclined to believe that's what's currently happening within the Chadema fraternity. Rather talk to them / Slaa.
 
Whilst I partly concur with what you are saying, wd stop short at the suggestion that Slaa can go all out and make big decisions singlehandedly without his party's consent. He's smarter than that - which doesnt make him a "whiner" as you are portraying him to be.

Slaa is a true democrat and am sure under no circumstances he would be swayed from that course. As an outsider, I have personally been impressed by Chadema's internal level of democracy.......see, people like Zitto have the luxury of even talking negatively about their own party without a single head rolled.
Do that to CCM, TLP, etc - you will see!!

Am sure Dr Slaa is too smart to blindly start being the architect of those palavers that would allow the Zitto's of this world have a go at it....one needs analysing all the risks involved and I am inclined to believe that's what's currently happening within the Chadema fraternity. Rather talk to them / Slaa.

M-Mbabe............bana......................face the truth how can Dr. Slaa be a leader without possessing persuasive powers............Are you not questioning his influential credentials when you avers................wd stop short at the suggestion that Slaa can go all out and make big decisions singlehandedly without his party's consent.

Ushawishi wake uko wapi?

What is the use to make an an outrageous claim that a presidential election has been stolen and you renege to seek court intervention?
 
Nani amekwambia dr Slaa ametulia. Tusichanganye mtu kukaa kimya na mtu kutulia. Nadhani ni vyema ukatafakari unayoyasema na kuangalia mambo kwa mapana yake, and move beyond tactics to strategy. Asante mkuu.

Wewe mtetee tu na kuna siku utakubaliana na hoja yangu kuwa Dr. Slaa ni debe tupu ambalo haliachi kutika......................huwezi ukawa na ushahidi mzito halafu uka kaa kimya.............that is a height of indolence......................
 
Hapana tutakuwa tunarudiarudia hoja bila sababu; kama ingekuwa ni uchaguzi wa mbunge nina uhakika dr Slaa angekuwa mahakamani. Lkn katiba iko wazi kuwa ktk kura za Rais hakuna rufani.
Sasa kama unaelewa hayo kwa nini uanze kum-accuse dr Slaa kuwa tapeli kwa kuwa hatendi kama UNAVYOTAKA wewe. Hii haiko skwani hatua unazotaka achukue ziko kinyume na sheria. Asante.
progress.gif



Ni lini Mahakama ilitoa tafsiri ya kuwa haiewezi kushughulikia migogoro ya Uraisi pale ambapo kuna ushahidi wa ya kuwa NEC haijafuata sheria ya uchaguzi katika kuyatangaza? Acheni kuingilia uhuru wa mahakama wa kutafsiri sheria....................
 
Hizi ndizo hoja za kimsingi hapa....................kama Dr. Slaa ana ushahidi kwa nini haendi mahakamani?............vinginevyo Dr. Slaa ni tapeli wa kimataifa.......................Aona hawezi kugeuza ukweli kuwa JK alimzidi kete..........za kuchakachua kiasi kwamba hawezi hata kujua JK alifanyeje hata kumbwaga..................
Nilisimamia upigaji kura, uhesabuji kura na ujumlishaji kura na nk....katika kituo changu kuna kura mbili zilizidi ukilinganisha na kura tulizo zihesabu kwenye vishina na hakuna aliekuwa na jibu kwamba zimetoka wapi na zimeingia aje sasa kwa hali kama hiyo yawezekana kuna wizi wa hali ya juu umefanyika ambao kujua walifanyaje inakuwa vigumu sana hasa ukiangalia si sehemu zote waliweka mawakala hivi basi unaweza kubaki ukijua umeibiwa na usijue walikuibiaje....na ukitaka kujua itakuchukua muda.....Kikwete anaweza akawa alishinda lakini si kwa 61%...Ukweli utabaki kuwa kulikuwa na usanii/mapungufu mengi kwenye ujumlishaji wa matokeo na yeye alioba yafanyiewe kazi nasi yeye atangazwe kuwa mshindi aliomba kasoro zilizo jitokeza zifanyiwe kazi badala ya kuendelea kujumlishaji, au furaha yako ulitaka tuingie barabarani?...angalia vunjo mbunge wa ccm aliongezwa kura zaidi ya 6000 baada ya wiki mbili wakabadilisha walipo badilisha ikawa inaonyesha jumla ya wapiga kura ni zaidi ya 62000 badala ya 57000.....
 
Wewe mtetee tu na kuna siku utakubaliana na hoja yangu kuwa Dr. Slaa ni debe tupu ambalo haliachi kutika......................huwezi ukawa na ushahidi mzito halafu uka kaa kimya.............that is a height of indolence......................
Sasa naona unataka kutulisha pumba.
Kama mchambuzi nilitegemea unaweka pembeni ushabiki alafu una kuja na hoja kwa kuchambu taarifa ya Dr.Slaa kwa waandishi wa habari kama ulivyo nukuu mwazo kabisa wa hii threat hazidi ya hapo unaleta ushabiki tu.
 
*Asema Usalama wa Taifa wamechakachua kura
*Aeleza tofauti ya zinazotangazwa na za vituoni
*Sasa aiomba jumuiya ya kimataifa iingilie kati
*Ridhiwan asema ameshaona dalili za kushindwa
[/COLOR]
Mr. copy & paste.
Unakoelekea itabidi tukupime akili karibu utamrithi MS.
 
"Kama wote tunaitakia mema nchi hii, naiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi ifute matokeo yote ya urais na kura zirudiwe upya kwa kuwa hayo yanayotangazwa sio matokeo ya wananchi

"Hatuwezi kukubali matokeo ya dola, hizo si kura za wananchi, ni kura za Usalama wa Taifa ambao wameshiriki kuchakachua matokeo haya.

"Vile vile matokeo ya ubunge yaliyochakachuliwa katika majimbo yote, NEC iyafute na uchaguzi urejewe upya ili haki iweze kutendeka.
"Lakini, kama tabia hii ya kuchakachua matokeo haitakoma, siku uzalendo utakapotushinda na tukawaamuru wananchi waingie mitaani, tusilaumiwe".

"Hivi wananchi wakiingia mitaani nani atabaki, siyo CCM wala Chadema, CCM wasitake kutupeleka huko tusikotaka".

Kwa mtazamo wangu Chadema safari hii wametuepusha na yale ya Kenya na Zimbabwe lakini kwa uhalisia na kwa hakika haya yanakuja na CCM ndio wakulaumiwa pale yatakapo kuwa yakitokea.
Naitakuwa hatari zaidi ukiongezea na kauli zao za kuingiza Udini katika Kampeni zilizopita na kupewa kipaumbele na magazeti ya Mafisadi au ya Serikali.
Hali ya huko mbeleni yafaa tu kusema tuombe Mungu busara kama za Dr Slaa na Chadema ziendele kutawala na kutuongoza wakati huo na tuombe Katiba iweimefanyiwa marekebisho ilikuwe na mahali pakuweza kudai haki nje ya hapo wapiga kura watakuwa barabarani kudai haki yao na hapo hayo ya hapo juu kwenye nyekundu yatatimia.
Angalizo.
Ushabiki usiozingatia hali halisi waweza kutuletea janga kubwa la kutuondolea amani tunayoimba kila siku.
 
Sasa naona unataka kutulisha pumba.
Kama mchambuzi nilitegemea unaweka pembeni ushabiki alafu una kuja na hoja kwa kuchambu taarifa ya Dr.Slaa kwa waandishi wa habari kama ulivyo nukuu mwazo kabisa wa hii threat hazidi ya hapo unaleta ushabiki tu.
Unategemea nini kutoka kwa analyst wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo.
 
Alianza kuufyata Mbowe pale alipokuwa na mdahalo na Hamad, alikmkubali Rais na akakataa njia zilizotumika kuchaguwa Rais. Hawa hata hawajulikani ni wababaishaji tu. Wote system hao.
 
Kwa mtazamo wangu Chadema safari hii wametuepusha na yale ya Kenya na Zimbabwe lakini kwa uhalisia na kwa hakika haya yanakuja na CCM ndio wakulaumiwa pale yatakapo kuwa yakitokea.
Naitakuwa hatari zaidi ukiongezea na kauli zao za kuingiza Udini katika Kampeni zilizopita na kupewa kipaumbele na magazeti ya Mafisadi au ya Serikali.
Hali ya huko mbeleni yafaa tu kusema tuombe Mungu busara kama za Dr Slaa na Chadema ziendele kutawala na kutuongoza wakati huo na tuombe Katiba iweimefanyiwa marekebisho ilikuwe na mahali pakuweza kudai haki nje ya hapo wapiga kura watakuwa barabarani kudai haki yao na hapo hayo ya hapo juu kwenye nyekundu yatatimia.
Angalizo.
Ushabiki usiozingatia hali halisi waweza kutuletea janga kubwa la kutuondolea amani tunayoimba kila siku.
Hapo tuko pamoja
 
I believe itafika tu wakati katiba itabadilishwa mageuzi si lazima yafanyike kwa wakati mmoja kwani watu wanaolilia katiba ibadilishwe wanazidi kuongezeka wengine ni vigogo toka ndani ya serikali so mimi binafsi naamini wakati tu bado haujafika ila kuna siku katiba itabadilishwa!
 
Wewe mtetee tu na kuna siku utakubaliana na hoja yangu kuwa Dr. Slaa ni debe tupu ambalo haliachi kutika......................huwezi ukawa na ushahidi mzito halafu uka kaa kimya.............that is a height of indolence......................

Mkuu, kwa bahati mbaya hujaelewa hoja yangu. Ila naomba ukae na kutafakari kama unachotaka ni kiongozi mwenye kufuata utashi wake nakutafakari au unataka kiongoziambaye atatenda kama UNAVYOTAKA wewe.
Tukiangalia kwa karibu kitu kinachofanya uanze leo kumtukana Dr Slaa ni kuwa hajafuata ushauri wako wa kwenda mahakamani. Lakini narudia tuangalie masuala haya kwa mapana yake. Wewe uko tactical wakati yeye anaangalia strategic.
Asante na ninakutakia mapumziko mema leo siku ya uhuru wetu.
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>
Mkuu I sense ur frustration but there are many ways to skin a cat. Running to courts when the options are limited will only result in Dr Slaa becoming another Rev Mtikila, best case scenario - "that batty uncle living in the attic."
If we want dr Slaa to remain a national leader, we need to give him room to act like a leader not a radical activist.
I would actually turn it around n say let others go to court on his behalf. Let Rev Mtikila do that (I believe he is doing that).
Remember it is not abt winning the battle (n wasting energy on it) but winning the war. That is the good signs of leadership. That is the strategy that I see dr Slaa using, n we need to patiently see where he wants to go.

Mkuu, kwa bahati mbaya hujaelewa hoja yangu. Ila naomba ukae na kutafakari kama unachotaka ni kiongozi mwenye kufuata utashi wake nakutafakari au unataka kiongoziambaye atatenda kama UNAVYOTAKA wewe.
Tukiangalia kwa karibu kitu kinachofanya uanze leo kumtukana Dr Slaa ni kuwa hajafuata ushauri wako wa kwenda mahakamani. Lakini narudia tuangalie masuala haya kwa mapana yake. Wewe uko tactical wakati yeye anaangalia strategic.
Asante na ninakutakia mapumziko mema leo siku ya uhuru wetu.

You are simply suggesting we dont need to vote anymore!!

You mean Dr. Slaa will transform to be Mtikila in the court??

If you will recall and record down, Mtikila have done great and memorable things than any living and dead politician in opposition side, for this country! he have done so through COURT!!
 
You are simply suggesting we dont need to vote anymore!!

You mean Dr. Slaa will transform to be Mtikila in the court??

If you will recall and record down, Mtikila have done great and memorable things than any living and dead politician in opposition side, for this country! he have done so through COURT!!

'has' I bet
 
Back
Top Bottom