Dr. Slaa anasema atauza saruji kwa shilingi elfu tano…kiwanda anacho?

Tunao uwezo wa kutengeneza saruji yetu wenyewe, na kuiuza na kupata faida sokoni hata kwa Shilingi Elfu Tatu! Bei iko juu kutokana na kwamba uchumi unaendeshwa kwa kuwanuifaisha MATAJIRI, MAFISADI, wanaojiita wawekezaji. Mpe uwezo Mtanzania, Mzawa, uone jinsi atakavyofanikiwa sokoni! Wewe vipi?????
 
"saruji kwa shilingi elfu tano"... mhhhh?:confused2: ahadi nyingine sikaribiane na ukweli basi. .. hata kidogo
 
Wana jf, Heshima kwenu.

Ningependa kutoa maoni yangu dhidi ya hawa jamaa, Takribani miaka mitatu hivi sasa huyu Risasi akijifanya mkereketwa wa ccm amekua akiforce umaarufu kwa kuzunguka katika vituo vya tv kuomba nafasi ili aonekane akidhani atapata recognition,lakini kichekesho ni pale apatapo nafasi kuelezea mada zake uchwara, IN 2010 Dr slaa alikuwa na lengo la kushusha gharama za vifaa vya ujenzi to be specific alitaja mfuko wa cement kuuzwa elfu 5. Kwa waelewa Dr alieleweka atafanya nini ili bei iwe elfu 5, sasa jamaa akatafsili haraka haraka pale c ten Namnukuu "Dr slaa aliposema mfuko wa cement utauzwa elfu 5 mimi nikapiga hesabu nikaona trei ya mayai dukani inayouzwa shiling 5000 itauzwa miambili 200 Slaa ni mwongo anawaong'opea wananchi''huo ndio uwelewa wa huyu jamaa ambaye anajipambanua kama balozi wa amani, nadhani upstairs kuna tatizo lakini yeye hajitambui,

BALILE huyu jamaa ni bogus amaewahi kupitapita baadhi ya sekondary kure kagera lakini hakukaa sana due to his incompitence na hakuwa mwl by trainning amepitia mikono ya wasamalia kufika hapa alipo sasa anakuja na analysis za ajabuajabu MWISHO NAPENDA KUULIZA KWANINI WALE VIJANA WANAOJITOKEZA KUIPIGANIA CCM HUWA HAWAJIWEZI KICHWANI je is this a coincidence? au ccm woote wabovu pale upstairs?
 
chadema walisema Elimu ya msingi bure, mkampinga...mmeitumia hiyo sera,je?...watoto huwa wanalipiwa ada na ccm?....the same, whatever is unaffordable under ccm chadema can do, wait and see thereafter 2015!...pesa za EPA,RADA,USWISS, MIKATABA YA GES,MEREMETA,KAGODA NK..vimetupatia gharama ya bidhaa "kupanda kwa bei" na umaskini wetu...huu ni mfano mdogo sana...UMEONA KUWA HUNA AKILI?...
 
Back
Top Bottom