Dr. Slaa anakosea:Enyi wana CDM, wanavyuo, na wanaharakati sikieni

the mkerewe

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
232
14
Enyi wana CDM na wanaharakati wote

Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?

(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)

KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.
 
Wewe unadhani Dr. Slaa ni fisadi kama hao Mafisadi Papa RA, EL na chenge mzee wavisenti??? Acha utoto!!!
 
Wewe unadhani Dr. Slaa ni fisadi kama hao Mafisadi Papa RA, EL na chenge mzee wavisenti??? Acha utoto!!!
ndio maana nikasema ukitaka udhalilishwe mguse Dr.Slaa ,umeshaanza kunidhalilisha. KWANI LISSU NA MBOWE NI FISADI ? mbona hamuwi wakali tunapowagusa hao?
 
Enyi wana CDM na wanaharakati wote

Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?

(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)

KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.

Labda hujaelewa vizuri siyo kwamba Dr wa ukweli hasei ila ndiye mtu pekee mwenye mapenzi mema ya nchi! hebu fikiria sukari kg 50 inauzwa 80,000/= yaani kwa bei ya jumla ya kilo moja ya sukari ni Tshs 1600 hapo bado hujaisafirisha mpaka unapouzia. Wakuu wa nchi wanaona ni sawa! Sembe kg 50 ni Tshs 30,000/= mafuta ya kupikia ndoo kubwa 50,500/=. Je nchi inakwenda wapi? Inamaanisha mwenye kipato cha chini hataweza kunywa hata chai.................
 
Labda hujaelewa vizuri siyo kwamba Dr wa ukweli hasei ila ndiye mtu pekee mwenye mapenzi mema ya nchi! hebu fikiria sukari kg 50 inauzwa 80,000/= yaani kwa bei ya jumla ya kilo moja ya sukari ni Tshs 1600 hapo bado hujaisafirisha mpaka unapouzia. Wakuu wa nchi wanaona ni sawa! Sembe kg 50 ni Tshs 30,000/= mafuta ya kupikia ndoo kubwa 50,500/=. Je nchi inakwenda wapi? Inamaanisha mwenye kipato cha chini hataweza kunywa hata chai.................
Nakubali CCM imeiumiza nchi kwa namna gharama za maisha zinavyopaa,ila mbona mko tayari kumkandia yeyote kasoro Dr. Slaa?Kumbuken uzee unaanza kumjia Slaa ataanza kauMAKAMBA kidogokidogo lakin bado mtamkubali.
 
Una wenge lako na umeamka unajisikia kurusha upupu wako hewani.

Hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake ila ya wengine yamezidi tofauti Dr. Slaa ambaye kwa sehemu kubwa amefanya kazi kubwa na wananchi wana imani naye kutokana na hoja zake baada ya JK. Kupeteza lengo aliloingia nalo Ikulu 2005.

Tena mimi namheshimu sana huyu mtu maana kama atesema chochote cha kipumbavu nchi hii itawaka moto ambao hautaweza kuzimwa na jeshi la aina yoyote la nchi hii maana anapendwa mpaka huko kwenye majeshi ana busara na uvumilivu ambao Cuf wa ccm hawana zaidi ya ubabe na propaganda chafu za kutugawanya kidini zaidi.

Kwani wewe ulikuwa unatakaje?
 
hapana ila nadhan kama vijan hawatafanyiwa scanning ya bongo zao kuna siku Dr. atawaamuru wachafue aman na wataiwasha moto nchi.

Mkuu naomba nikukumbushe kuwa AMANI hailetwi na watawala kama hawa! Amani huweza kuwapo iwapo watu wanapata haki zao za msingi na kama watu hawapati haki zao inamaanisha hakuna amani. Hebu fikiria mtu mzima anaamuka asubuhi halafu hajui atakula nini asubuhi, mchana na jioni. Yaani maisha tunayoishi sasa ni kama nchi ipo vitani! shame upon you!!!
 
Nakubali CCM imeiumiza nchi kwa namna gharama za maisha zinavyopaa,ila mbona mko tayari kumkandia yeyote kasoro Dr. Slaa?Kumbuken uzee unaanza kumjia Slaa ataanza kauMAKAMBA kidogokidogo lakin bado mtamkubali.

Mara mia Heri uzee wa Dr kuliko ujana wa mafisadi!!!
 
Enyi wana CDM na wanaharakati wote

Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?

(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)

KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.

Natamani kufanya scanning ya ubongo a.k.a akili yako pale Mirembe
 
Una wenge lako na umeamka unajisikia kurusha upupu wako hewani.

Hakuna binadamu aliyekamilika kila mtu ana mapungufu yake ila ya wengine yamezidi tofauti Dr. Slaa ambaye kwa sehemu kubwa amefanya kazi kubwa na wananchi wana imani naye kutokana na hoja zake baada ya JK. Kupeteza lengo aliloingia nalo Ikulu 2005.

Tena mimi namheshimu sana huyu mtu maana kama atesema chochote cha kipumbavu nchi hii itawaka moto ambao hautaweza kuzimwa na jeshi la aina yoyote la nchi hii maana anapendwa mpaka huko kwenye majeshi ana busara na uvumilivu ambao Cuf wa ccm hawana zaidi ya ubabe na propaganda chafu za kutugawanya kidini zaidi.

Kwani wewe ulikuwa unatakaje?
Kama hamna kaujinga flani ni lipi hasa TATIZO LA LIPUMBA kiasi cha kumtoa kwenye siasa?(CUF is safocating and gona die 2015)
Kwa hiyo Slaa tu ndiye safi huko CDM, bcs HAMUWI WAKALI PINDI Vigogo wengine wa CDM wanapoguswa?
 
Enyi wana CDM na wanaharakati wote

Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?

(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)

KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.

Hata hueleweki!
Kichwa cha habari unasema Dr. Slaa anakosea; mbona kwenye habari yako hujaeelezea anakosea nini?

Kwenye hiyo Red; Alitakiwa mtu mmoja na katika kuangalia kwao Tumaini University wameona huyo ndio anafaa kwa hilo somo na si huyo unayemfikiria wewe.

Halafu umezungumzia Dr. Slaa anakosea; kualikwa kufundisha uzalendo ndio kukosea?
Subiri na wewe utakapokuwa na chuo chako ndio utamwalika huyo unayemtaka tofauti na Dr. Slaa.
 
Labda hujaelewa vizuri siyo kwamba Dr wa ukweli hasei ila ndiye mtu pekee mwenye mapenzi mema ya nchi! hebu fikiria sukari kg 50 inauzwa 80,000/= yaani kwa bei ya jumla ya kilo moja ya sukari ni Tshs 1600 hapo bado hujaisafirisha mpaka unapouzia. Wakuu wa nchi wanaona ni sawa! Sembe kg 50 ni Tshs 30,000/= mafuta ya kupikia ndoo kubwa 50,500/=. Je nchi inakwenda wapi? Inamaanisha mwenye kipato cha chini hataweza kunywa hata chai.................

Kwa hilo tu tayari unajionyesha jinsi mapenzi yalivyokupofusha akili.
 
Sisi UDOM tunaomba Dr,Dr,Dr,Dr,Dr aje afundishe uzalendo!!:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:
 
Enyi wana CDM na wanaharakati wote

Baada ya kusoma maoni ya wengi nimegundua kuwa wanaJF hawataki aguswe Dr. Slaa kwa baya lolote. Namheshim Dr. Slaa ni msomi mwanaharaki mwenye ubongo uliohai ILA KWA NINI wanainchi wanamchukulia kuwa HAKOSEI?

(imefikia pahala TUMAINI University wanataka Dr. Slaa apewe saa nne za kulecture pale chuoni kila mwezi ili kufufua uzalendo kama vile hii nchi haina mzalendo mwingine)

KOSA NI KWA WENGINE ila makosa ya Dr. Slaa huitwa critical analysed ideas hence FACTS+media coverage mara gafla HUGEUKA MSIMAMO WA WANAINCHI.

Sasa si Ungewauliza Wananchi bana
 
hapana ila nadhan kama vijan hawatafanyiwa scanning ya bongo zao kuna siku Dr. atawaamuru wachafue aman na wataiwasha moto nchi.

Mbona Misri wamewasha moto..hata hapa moto uwake tu hata leo. Wao wale na kusaza wakati sisi tunashindia kipande cha nguru? Au wewe kwako kuwa na amani maana yake ni nini?
 
Back
Top Bottom