Elections 2010 Dr Slaa Anahutubia Shinyanga Mjini sasa hivi

Nimeshuhudia umati wa Dr Slaa shinyanga, hakika nchi imeshakwenda kwa Dr wa ukweli maana hata sina nano mwenye uwezo na alete picha kamili waju ukweli huo, kanguine, ms, na wengine hiyo mvua ya rasha rasha. Oct 31 balaa
 
Uwanja wa Kambarage Shinyanga ni Uwanja wa Chama Cha CCM kama viwanja vyote vikubwa Mikoani na Jijini Dar-es-salaam
Kwahiyo kama wewe sio CCM then tafuta uwanja wako

lakini mkuu, huu uwanja ulijengwa na watanzania wote na sio wanaccm pekee
 
Uwanja wa Kambarage Shinyanga ni Uwanja wa Chama Cha CCM kama viwanja vyote vikubwa Mikoani na Jijini Dar-es-salaam
Kwahiyo kama wewe sio CCM then tafuta uwanja wako

Agizo la Tume ya Nyalali litaanza kutekelezwa baada ya uchaguzi. Kwa hiyo CCM jihadharini sana kwani mtajikuta hamna hata jengo moja la ofisi, yote yaliyojengwa kwa nguvu za wanachi wote wakati wa chama kimoja yatageuzwa kuwa majumba ya ushirika, na viwanja vya michezo vyote vitarudhishwa mikononi mwa TFF.
 
Uwanja wa Kambarage Shinyanga ni Uwanja wa Chama Cha CCM kama viwanja vyote vikubwa Mikoani na Jijini Dar-es-salaam
Kwahiyo kama wewe sio CCM then tafuta uwanja wako

It's just matter of time pale ambapo mali zote zilizokuwa za wananchi kabla ya kuingia mfumo vingi vikiwemo hivyo viwanja, mali hizo zitarudishwa kwa wenyewe (WATANZANIA).
 
Mkuu hata mimi nimepewa taarifa sasa hivi kwamba mkutano unafanyikia kwenye viwanja vya Lubaga Joshoni watu ni wengi haijapata kutokea! Watu wamejaa mpaka soko jipya Lubaga. Watu mpaka wa vijiji vya jirani na Manispaa ya Shinyanga wamekuja kwenye mkutano huo. Yaani naambiwa kwamba watu wameanza kuingia uwanjani tangu saa 5 asubuhi ilhali wakijua mkutano unaanza saa 10 alasri. Huu ni mwanzo tu kiama ni hapo tarehe 31/10/2010 mafisadi watakapong'olewa madarakani. Sasa naanza kuamini kuwa CCM hawashindi hata kwa 30% labda waibe kura.

.
Kuliko tuwaruhusu waibe kura ni heri kama tusingelizaliwa. Neno wizi mwaka huu halipewi nafasi kabisa. Mwenye wazo hilo asahau kabla nguvu ya umma haijamshusha shimoni angali hai!!!
 
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...yethu na maria


U make me laugh. aaaaaahahahaaaaaaaaaaaa, ww mahita na avatar yako, ngoja nikupe suport uwii.. uwiiiiiiiii... uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....... nakuambia massawe iko mtu balaa naniiiiiiiii, yethuu, yethuu ila Dr Slaa ni Mwiraqw, ako ako ah ah, saita, gam ah aah....
 
Back
Top Bottom