Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
No one like Dr Slaa!
Wezi wa Mali za umma pekee ndio wanaomuogopa Dr Slaa!
Bora uibe mali ya umma kuliko mke wa mtu inakera sana.
No one like Dr Slaa!
Wezi wa Mali za umma pekee ndio wanaomuogopa Dr Slaa!
Arudi akachunge kondoo wa bwana,siasa awaachie wanasiasa,nchi gan umeshawahi kusikia imeongozwa na padre au shekh kazi zao n kuchunga kondoo wa bwana arudi huko akatimize na yy ndoto zake,2015 rais Lowasa hana mpinzan
Mbona ma ccm thread inayomhusu daktari wanajaa sana.au ndio maelekezo maalum
Watz tunahitaji rais mwadilifu na jasiri ktk kuamua.Dr SLAA anasifa hii tumchague awe rais wetu 2015.
Siku mkeo akiporwa na slaa ndio utaujua uadilifu wake.[/QUOTE
Childish!