TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Dk. Wilbroad Slaa ameingia mitini licha ya kuthibitisha kushiriki kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 ambacho kililenga kumkutanisha na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Wote walithibitisha kushiriki lakini ghafla Dk. Slaa akaingia mitini.
Kiwango cha Dr. Slaa kipo juu hawezi jishushia heshima kwa kufanya mjadala na mukama