WaliNazi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 851
- 96
hii kauli naurudia tena humu jamvini na ninaomba mtu aweke kwenye rekodi kama mungu akitupa uhai ntaikumbushia.
tusije tukashanga E.L kuwa raisi wa hii nchi 2015. naomba niweke kwenye rekodi. huyu jamaa ana siri kubwa sana wazee.
....watu wengne cjui mnaamkia wapi..!?