Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.
Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.
I VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.
Chadema wanaanza mikutano Kanda ya kusini mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 28-may-2012. Je, huko nako wataita operesheni hiyo SANGARA au? I mean kama ile waliyofanya kanda ya kaskazini ambayo ilipelekea wao kuvuna wabunge watatu Jiji la Mwanza? Naomba majibu plz.
Hahahahahahahahahaa nape kasha zidua yake wakati ile ya kwanza haja ikamilisha ya vua gamba....Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.
Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.
NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.
Mkuu hii inaitwa Movement For Change na ni ya nchi nzima....Chadema wanaanza mikutano Kanda ya kusini mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 28-may-2012. Je, huko nako wataita operesheni hiyo SANGARA au? I mean kama ile waliyofanya kanda ya kaskazini ambayo ilipelekea wao kuvuna wabunge watatu Jiji la Mwanza? Naomba majibu plz.
upepo tu wa magamba utapita
Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.
Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.
NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.
Chadema wanaanza mikutano Kanda ya kusini mikoa ya Mtwara na Lindi kuanzia tarehe 28-may-2012. Je, huko nako wataita operesheni hiyo SANGARA au? I mean kama ile waliyofanya kanda ya kaskazini ambayo ilipelekea wao kuvuna wabunge watatu Jiji la Mwanza? Naomba majibu plz.
Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.
Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.
NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.
I conquer with you .....but epuka mistakes ndogo katika lugha.
Mzalendo ni la chama au serikali?