Dr. Slaa Almanusra Ajiuzulu Chadema, Sasa CCM tumechoka!!

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.

Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.

NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.
 
Too late mtanzania mwenzangu, kimbunga cha movement for change kinavuma kila kona ya nchi, hata zanzibar. fanya utafiti mdogo tuu utashangaa.
 
ninahakika kwakua ukweli unajulikana wa kipi kiliendelea jangwani a.k.a chadema square hata wana CCM a.k.a NYINYI-M hawatalinunua leo,maana nafs zao zitawasut
 
Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.

Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.

NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.

Mafilifili ni kweli uandishi mwingine hata aliyekutuma anaweza kushangaa kwa jinsi ulivyo bogus!!!

Na ni kweli kama mtu ulitaka asile na akafanya timing chakula akakikuta kipo mezani unakula, bila karibu akanawa na kuanza kula basi inabidi uwe jasiri umpukute mkono tu umwambie asile na aaondoke, hali kadhalika CCM akijifanya kuichekea CDM muda mchache kabisa itakuwa ngome kuu ya upinzani kama ilivyo kaskazini.

Hiyo ndiyo fitna kama ukiamua kufanya na kupaka matope.
 
Bora MAFILILI muda mwingine uwa una mtazamo chanya!ngoja waje wenzako c.c.m washadadiaji wa ku copy article za magazeti na ku paste kama kina Ribosome uone watakavyokushambulia
 
yaani nikafikiri ni habar yenye kina kumbe uzush mtupu na bahat mbaya siku hiz magazet hayaamiki sana sana yamekua kama ya shigongo
 
Nasikia magamba wana bajeti ya kulinunua gazeti lao maana hata nakala 5,000 huwa haziuzwi nationwide kwa siku.
 
Mzalendo ni la chama au serikali?
ni la chama cha magamba mkuu.. tuache tu kwani wao wana mamlaka zote, polisi, majeshi n.k hila sisi tuna mungu na nguvu ya umma mungu atatusikiliza 2015......
 
Leo nimezidi kuumia kukuta gazeti letu kongwe, MZALENDO linakuja na vichwa visivyo na mvuto mbele ya jamii ya watanzania wa siku hizi:
1. Dr. Slaa alitaka kujiuzulu Chadema
2. Chadema Wamgwaya Shibuda
3. Uchumi wa Tanzania wavuka lengo mwaka 2011.

.

Kiukweli mhariri wa gazeti hili anakula mshahara pasipo kutoa tija; hivi vichwa wa habari haviingii akilini kwa watanzania kwani uhalisia ni tofauti.

NI VIZURI WANACCM TUKAE CHINI NA kupanga mbinu mpya za kukabiliana na CDM, ikibidi kama noma iwe noma, UKANDA WA PWANI wasifanikiwe kufanya mikutano, Mtwara na Lindi suala la Korosho litatuumbua.

This is not a best strategy.
If CCM will embarks on fighting CHADEMA, they will not save the people.
MY TAKE: Kabiliana (fight) with CHADEMA by making MAISHA BORA KWA KILA MTU a reality
 
Waziri mkuu mstaafu Sumayi aliwahi kuonya wakati wa mchakato wa uraisi kupitisha jina mgombea kjwa tiketi ya CCM,alisema"ni hatari sana kwamgombe anayetaka urais kutumia njia ya kuvinunua vyombo vya habari ili kuwa maliza wapinzani wake,akipata madaraka ana uwezo mkubwa wa kutumia mtutu wa bunduki kwanyamazisha wapinzani wake"

Mbinu zote zimetumika,lakini wananchi hawasikii,udini umetangazwa sana watu wameziba masikio na hoja inayo tawala kwasasa ya ukanda nayo ni kama prevailing wind,kwani imekosa support toka kwa wananchi,wajiandae na hoja zingine za uzushi na mwisho wa siku itakuwa sizitaki mbichi hizi.
 
Population ya mikoa yote ya Pwani ni sawa na mkoa mmoja tu wa Mwanza ambapo tayari mmeshahari. Hamtapona safari hii pona yenu ni kujisalimisha tu.
 
Back
Top Bottom