MITIMIREFU
Member
- Nov 7, 2011
- 7
- 4
Ajabu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hahah...kaona Lema anampoteza kwenye siasa!
Kaona naye aige...
Kweli magwanda wamekosa mbinu mpya
A bunch of wrong moves,nchi isipokombolewa sasa haitakaa ikombolewe tena.
Lets see people's reaction.
Hivi hizi mahakama zinafanya kazi mpaka huu mda? mbona kawaida ni saa9:30 au kipindi hiki wanalipwa Overtime kwasababu kuna kazi maalumu ya CCM?