Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,835
- 630
Huyu aliye kaa pembeni mwarabu ni nani?
Ni Shekh MANSOUR owner wa ABLA ESTATES
na hapo ni kwenye apartment zake hapo VICTORIA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliye kaa pembeni mwarabu ni nani?
Mu-iraqw!!
Hata ulitie madoido linabaki kuwa kama nilivyosikia, mu Iraq. Ukimfatilia nasaba yake unaweza kukuta ana udugu na Saddam Hussein.
Tena hao wa Iraq"w" ni waarabu kabisa. Kwa hiyo hapo yupo nyumbani kabisa. Mwacheni akumbuke gahwa na tende.
Picha hiyo ni ya kutengenezwa, kichwa kimechomekwa cha Slaa wakati kiwiliwili ni cha ustaadhi fulani.
Slaa hana miguu myembamba hivi, Slaa amejaza miguu. Halafu anaonekana ni mrefu na mwenye miguu myembamba na mirefu wakati Slaa ni wa kimo cha wastani na miguu iliyojaza kiasi.
Aliyechomekea kichwa cha Slaa amefanikiwa mandhari lakini picha ya mshusika ameangukia pua.