KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
Sio dr slaa uyo angalia juu bonge la mwili chini miguu kama miwa, ah wapi iyo picha imekuwa doctored come on......... Nalog off
Sio kila kitu photoshop.....usikaririPhotoshop! Umejitahidi lakini!
Unamtukana dr!Sio dr slaa uyo angalia juu bonge la mwili chini miguu kama miwa, ah wapi iyo picha imekuwa doctored come on......... Nalog off
Picha hiyo ni ya kutengenezwa, kichwa kimechomekwa cha Slaa wakati kiwiliwili ni cha ustaadhi fulani.
Slaa hana miguu myembamba hivi, Slaa amejaza miguu. Halafu anaonekana ni mrefu na mwenye miguu myembamba na mirefu wakati Slaa ni wa kimo cha wastani na miguu iliyojaza kiasi.
Aliyechomekea kichwa cha Slaa amefanikiwa mandhari lakini picha ya mshusika ameangukia pua.
Mu-iraqw!!
Duh!Picha hiyo ni ya kutengenezwa, kichwa kimechomekwa cha Slaa wakati kiwiliwili ni cha ustaadhi fulani.
Slaa hana miguu myembamba hivi, Slaa amejaza miguu. Halafu anaonekana ni mrefu na mwenye miguu myembamba na mirefu wakati Slaa ni wa kimo cha wastani na miguu iliyojaza kiasi.
Aliyechomekea kichwa cha Slaa amefanikiwa mandhari lakini picha ya mshusika ameangukia pua.
Picha hiyo ni ya kutengenezwa, kichwa kimechomekwa cha Slaa wakati kiwiliwili ni cha ustaadhi fulani.
Slaa hana miguu myembamba hivi, Slaa amejaza miguu. Halafu anaonekana ni mrefu na mwenye miguu myembamba na mirefu wakati Slaa ni wa kimo cha wastani na miguu iliyojaza kiasi.
Aliyechomekea kichwa cha Slaa amefanikiwa mandhari lakini picha ya mshusika ameangukia pua.
Watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri hujadili watu.
Kwanza sioni kama ni tatizo kama kweli ni Dr. Slaa, jamani kwani waarabu au wazungu ni mwiko kukaa nao na kunywa nao chai?