Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Katibu wa itikadi na uenezi (Nape), bila itikadi kuwepo (CCM), ni tatizo kwelikweli. hatari yake unaweza kuwa vuvuzela, maana unazungumza bila falsafa au dira. Pole sana Nape CDM sio saizi yako.