GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Katibu mkuu wa Chadema na aliyekuwa Mgomba wa urais mwaka 2010 kupitia chama cha CHADEMA ambacho ni chama kikuu cha upinzani na kinacho ongoza kwa umaarufu na kupendwa na watu wote hasa vijana Nchini tanzania na Nchi za jirani Dr.W.Slaa, amesema hatokubali kuhojiwa na polisi juu ya habari za kutishiwa kuuwawa kwa viongozi wa ngazi za juu wa chama hicho kwa kile alicho dai kwamba hana imani na jeshi hilo la polisi.
Ni hayo tu.
Akitaka atake asitake atahojiwa tu, hao vibaraka zake wa nchi za nje walio mwambia alete uzabi zabina wa maneno ya uwongo waje wamsaidie, kwani kwa hili hatoki hata chembe.