Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?umekata tamaa ki hivyo?
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?umekata tamaa ki hivyo?
Na msikitikia sana dokta Maslaa, Ndio mwisho wake huu ametolewa kafara na Chadema!
all the Best DR Slaa tuko nyuma yenu
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?
Sijakata tamaa ndugu, huo ndio kweli halisi? hivi unategemea Dr.Slaa anaweza kuingia Ikulu?
habari zilizopatikana toka huko ni kuwa jamaa amefunika ile mbaya.Mamia ya watanzania wajitokeza kumpokea.Ilikuwa ni furaha na vifijo.
GS Weka Picha Bana!
Yaani hata TBC nayo wametangza mwisho kabisa eti wanasema habari zilivyowafikia punde utadhani walikua hawajui nn kipo karatu! Agrrr....Nimefuatilia Taarifa ya Habari ya Channel ten hawajaripoti kuhusu Mh. Rais Dr. Wilbroad Peter Slaa
Wanafanya makusudi. Ingekuwa CCM mngeanza kutangaziwa vipindi vya matayarisho mapema sana.Yaani hata TBC nayo wametangza mwisho kabisa eti wanasema habari zilivyowafikia punde utadhani walikua hawajui nn kipo karatu! Agrrr....