Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Sikonge kumbe huyu Bwn ni mhuni, yaani yeye mwenyewe kaandika tena kajijibu kama Anonymous. Mpuuzi kabisa hawezi kutuyumbisha ukweli ameisha upata, uchaguzi umeisha vizuri na viongozi wamepatikana, kelele za nini tena?????????Hii habari kaandika yeye mwenyewe na kujijibu kwa kujiita ANONY.
Siyo gazeti hilo ila ni BLOG.......
Jamaa Msh***** sana huyu kwa kutumia jina la MAJIRA na kudanganya watu hapa....
Habari ipo hapa: GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Heche aibuka kidedea BAVICHA