usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
Tumeuanza vizuri mwaka 2012. Big up CHADEMA,
ogopa wana SIASA wa TZ usiwaamini maana wanataka umaarufu tu nakuiba pindi wakipata madaraka, Ni Nyerere na Sokoine tu Hakuna tena kama haoNdio Raisi wangu huyu ninaemtambua kwa kweli na zaidi nampenda sana Dr.Slaa,Mungu aendelee kukulinda Mh Raisi wangu ili uendee kupeperusha bendera ya CDM 2015,ni mtizamo wangu tu huu wakuu
Jamani hivi Slaa ni nani? muhubiri injili, mwanaharakati au mwanasiasa. naomba msaada
Jamani hivi Slaa ni nani? muhubiri injili, mwanaharakati au mwanasiasa. naomba msaada
mzalendoJamani hivi Slaa ni nani? muhubiri injili, mwanaharakati au mwanasiasa. naomba msaada
Jamani hivi Slaa ni nani? muhubiri injili, mwanaharakati au mwanasiasa. naomba msaada
wadau angalieni jinsi Dr Slaa alivyolakiwa akiwa anaingia eneo la uyole akielekea mjini mbeya majira ya saa 12 jioni leo 10.01.2012. Picha sio nzuri ni ya simu
Mkuu mbona hiyo Clip ina mi virus Kibao? isha vuruga Laptop yangu hapa