pinochet
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 345
- 96
<br />Kudos Werema!
<br />
Rejao unamatatizo sana au umepewa mlungula toka magamba? Usiwe kama mtu asiye elewa hali halisi.
<br />Kudos Werema!
Unamaanisha maandamamno ya CDM au hata yale ya wafanyakazi ndani ya viwanja siku ya mei mosi..??Next time mkiandamana ombeni na Lilian Mtei naye aje kukielewesha sio ninyi masikini tu ndio mtaabike.
<br />
<br />
<br /><br /><br />
<br /><br />
hivi ninyi magwanda hamna njia nyingine ya kufanya siasa mpaka maandamano au mnataka watu wafe ndio mwende ikulu kwa kukanyaga damu za watu, kama mlivyofanya Arusha.
If the government is sick of demonstrations, then it has to act responsibly to stubborn puzzles facing the normal citizens.
hivi ninyi magwanda hamna njia nyingine ya kufanya siasa mpaka maandamano au mnataka watu wafe ndio mwende ikulu kwa kukanyaga damu za watu, kama mlivyofanya Arusha.
hivi ninyi magwanda hamna njia nyingine ya kufanya siasa mpaka maandamano au mnataka watu wafe ndio mwende ikulu kwa kukanyaga damu za watu, kama mlivyofanya Arusha.