Dr Slaa aijibu serikali kuhusu maandamano

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Katibu mkuu wa chadema Dr W.P.Slaa amesema katu asilani serikali ikome kutisha watu.

Slaa amesema kitendo cha jaji Werema mwanasheria mkuu wa serikali kusema wanatunga sheria kudhibiti maandamano hakiwezi kuvumiliwa.

Dr Slaa amesema ni dhahiri sheria hiyo inatungwa kuidhibiti CHADEMA.

Dr Slaa amesema badala ya kukimbilia kutunga sheria dhalimu kuidhibiti CHADEMA ni vema wakatumia njia bora zaidi kudhibiti nguvu za CHADEMA kwa kushusha bei za vyakula, kupunguza bei za vifaa vya ujenzi,kupunguza mfumuko wa bei, kutatua tatizo sugu la umeme nk.

Source: Dr Slaa alikuwa anahojiwa na idhaa ya kiswahili ya BBC jana jioni.
 
If the government is sick of demonstrations, then it has to act responsibly to stubborn puzzles facing the normal citizens.
 
Wamebanwa kila kona CCM mpaka wanatumia vyombo huruvya serikali kuibana CDm, hiyo effort wangeilikeza kwenye kutafuta solution ya matatizo yanayotukabili tungekuwa tumeshafika mbali kimaendeleo,
 
Demonstrations is the language of expressing the voices of the marginalized people...and that is popular democracy which is being manifested through those demonstrations!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Hawa magamba ni wauaji wakubwa wameona njia ya kudai haki yetu ni kupitia maandamano na wanajua kbs uchafu na uonevu wao wanaoufanya unajulikana dunia nzima kupitia maandamano ya wananch kupitia cdm sasa wanatunga sheria ya kudhibiti maandamano, hii ni mbinu nyngn ya mwendelezo wa ukandamizaji, na ni wazi kbs TANZANIA BILA MAANDAMANO HAKUNA HAKI sasa TUFANYE NINI ILI KUDAI HAKI ZETU?
 
Katibu mkuu wa chadema Dr W.P.Slaa amesema katu asilani serikali ikome kutisha watu.Slaa amesema kitendo cha jaji Werema mwanasheria mkuu wa serikali kusema wanatunga sheria kudhibiti maandamano hakiwezi kuvumiliwa.Dr Slaa amesema ni dhahiri sheria hiyo inatungwa kuidhibiti Chadema.Dr Slaa amesema badala ya kukimbilia kutunga sheria dhalimu kuidhibiti chadema ni vema wakatumia njia bora zaidi kudhibiti nguvu za chadema kwa kushusha bei za vyakula,kupunguza bei za vifaa vya ujenzi,kupunguza mfumuko wa bei,kutatua tatizo sugu la umeme nk. Source-Dr Slaa alikuwa anahojiwa na idhaa ya kiswahili ya BBC jana jioni.
<br />
<br />

Watunge sheria ya kuwadhibiti mafisadi adui wa ccm ni ufisadi si cdm wakikumbuka kuachana na kukumbatia ufisadi watapona tatizo ccm&ufisadi ni sawa na samaki na maji nivigum kuachana na ufisadi nahili halina mjadara ccm nirazima ife
 
Hawa magamba ni wauaji wakubwa wameona njia ya kudai haki yetu ni kupitia maandamano na wanajua kbs uchafu na uonevu wao wanaoufanya unajulikana dunia nzima kupitia maandamano ya wananch kupitia cdm sasa wanatunga sheria ya kudhibiti maandamano, hii ni mbinu nyngn ya mwendelezo wa ukandamizaji, na ni wazi kbs TANZANIA BILA MAANDAMANO HAKUNA HAKI sasa TUFANYE NINI ILI KUDAI HAKI ZETU?
hivi ninyi magwanda hamna njia nyingine ya kufanya siasa mpaka maandamano au mnataka watu wafe ndio mwende ikulu kwa kukanyaga damu za watu, kama mlivyofanya Arusha.
 
hivi ninyi magwanda hamna njia nyingine ya kufanya siasa mpaka maandamano au mnataka watu wafe ndio mwende ikulu kwa kukanyaga damu za watu, kama mlivyofanya Arusha.

Hivi maandamano ya amani ni kifo? Kweli kwa sehemu kubwa bado bongo za baadhi yetu zimeganda kama damu ilovia! Hivi AG nimwanasiasa wa Magamba kumbe...!
 
ccm inaumwa ugonjwa wa nambulila-Mchungaji Christopher Mtikila wa DP
 
Maandamano ni haki ya kila mtu hasa wanyonge baada ya kukosa mahali pa watawala kusikia kilio chao. Dk (wa kweli) Slaa hajamumunya juu ya hili na wote wanafahamu vyema ujumbe unaotumwa na maandamano haya.

Kama siyo maandamano na kudai haki wabunge wengi wa CDM wasingekuwa bungeni. Dhana ya maandamano imeingia vichwani kwa watawala hivyo kuweweseka kila wakiyasikia. Hata vijembe vyao havitaondoa wanyonge katikamstari wa kusonga mbele. Tumemsikia hata Magufuli jana akijibu swali juu ya matuta barabarani alitia kijembe juu ya maandamano kwani aliyeuliza sawli ni Mhe Susan Lyimo (Chadema).

Kwa kuwa kila wanaoongea wanazongwa na maandamano haya sisi tunasema ujumbe umefika mahali pake (Message seny/delivered). Aluta Continua. Wacovu wa kupigania haki wapishe wimbi lipite.
 
Back
Top Bottom