Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Gaijin,
hapa sijakuelewa kabisa, unamaanisha nini?
kwa kiswahili chepesi .......nashindwa kuamini kama ana miaka 30 na nimetupia lawama kwa dhiki za Tanzania.
Sijui sasa umenielewa?
Gaijin,
hapa sijakuelewa kabisa, unamaanisha nini?
Comments nyingine ni vyema kuwa unazimezea. Ni too specific/personal. Naona km umemuattack huyo dada. Unaweza kuzizungumzia dhiki za Tanzania generally than attacking someone specifically.kwa kiswahili chepesi .......nashindwa kuamini kama ana miaka 30 na nimetupia lawama kwa dhiki za Tanzania.
Sijui sasa umenielewa?
Comments nyingine ni vyema kuwa unazimezea. Ni too specific/personal. Naona km umemuattack huyo dada. Unaweza kuzizungumzia dhiki za Tanzania generally than attacking someone specifically.
mkuu hujanipata nafikiri ......nashangaa mgombea ambae ana umri wa chini ya miaka 30 but doesnt look her age! ndio najiuliza kama chanzo kuwa ni dhiki ya Tanzania!
mkuu hujanipata nafikiri ......nashangaa mgombea ambae ana umri wa chini ya miaka 30 but doesnt look her age! ndio najiuliza kama chanzo kuwa ni dhiki ya Tanzania!
Tatizo ni kwa huyu dada tu au kwa kila mgombea?
manake hatujawahi kuzuiana kutoa maelezo wa muonekano wa Mgombea Kikwete.
Amenyauka, amesinyaa, amechoka, anakifafa, ana mdudu, na mengineyo.
btw muonekano wa mgombea una athari kwa wapiga kura (muonekano wa jumla, uvaaji, style ya nywele, n.k)
hizi ni bange .. umeanza kupondea muonekano wa wagombea? grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Ukishakua na uhakika na umri wake ndio uanze kujaji muonekano sawa?Kweli Tanzania kuna dhiki ........hivi huyu mgombea si bado under 30 au?
Ukishakua na uhakika na umri wake ndio uanze kujaji muonekano sawa?
Nimemponda mgombea wapi?
Kama nimeponda basi nimeponda Tanzania inayotutia dhiki. Nafikiri anaweza kutumia muonekano wake kama advantage ili watu wampigie kura aondoe dhiki Tanzania.
Nini kinakufanya ufikirie kuwa GS ana dhiki?
Mwalimu hapa unaenda mbali sana!kwa kiswahili chepesi .......nashindwa kuamini kama ana miaka 30 na nimetupia lawama kwa dhiki za Tanzania.
Sijui sasa umenielewa?
Who doesnt?
Mwalimu hapa unaenda mbali sana!
Hahaha haya bana nimesoma katikati ya mistari mwalimu!Jamani wana ukumbi niwieni radhi
Nilisahau kama hapa tuko kwenye siasa za Tanzania na muonekano wa mgombea haupaswi kuzungumziwa (japo kama unaathiri wapiga kura).
Na nahisi kuwakwaza wengi ukumbini. Nakubali makosa na sitorudia .........
Jamani wana ukumbi niwieni radhi
Nilisahau kama hapa tuko kwenye siasa za Tanzania na muonekano wa mgombea haupaswi kuzungumziwa (japo kama unaathiri wapiga kura).
Na nahisi kuwakwaza wengi ukumbini. Nakubali makosa na sitorudia .........
Hahaha haya bana nimesoma katikati ya mistari mwalimu!