Dr Slaa afunguka: Azungumzia maslahi ya madaktari na kuteswa Dr. Ulimboka

sawa padri slaa, lakini hiyo dini yako inaruhusu kumuwacha binaadamu mwenzio afe kwa sababu tu yakutaka pesa??. huoni hii kuwa ni sawa na matendo ya kijambazi? hata wakipata hicho wanachokitaka lakini je wataweza kurudisha roho za watu zilizotoka!!! naamini wewe ni mfuasi wa yesu, je yesu anaweza kuwa na msimamo kama wako kwa jambo hili?

Hakika haya mawazo yako hayana tofauti na taahira
 
Hivi Slaa, ni mwanaharakati au mwanasiasa? Sasa wewe kazi yako kulalamika tu na kukosoa sema basi Chadema wakichukuwa nchi Madaktari watalipwa milioni 10 kwa mwezi na nyumba pamoja na gari ya kutembelea, Walimu kima cha chini watalipwa Sh800,000 kwa mwezi.

Kumbe Chadema walikuwa nyuma ya huu mgomo Slaa, sema mtawafanyia nini Madaktari mkichukuwa nchi.
 
Hata kama kuna 15 Bil za chai sio mtu mzima kupayuka ovyo. Pesa inayotakiwa na maDr ni za kudumu sio kama bonus ya mwaka. Kwayo iwapo hatujui mahesabu sio kudanganyana kutaka kukuza jina.
 
The foes of our own household are surely prevailing against us, there should be in our people an inner life which finds its outer expression in a morality like unto that preached by the seers and the prophets of God. CCM have made themselves creators of our own life and have gone far from their role of being vendeators
 
Huyu mzee na yeye kachemka siku hizi, asipo angalia atapotea kwenye anga za siasa. Tena CDM wakimsimamisha 2015 itakuwa safi sana.
 
hiyo tume huru kwa lipi hasa na kwa gharama za nani? imo serikali iendelee na taratibu zake za kawaida kulishughulikia suala hili, ambaye hataridhika aende huko anakoona kunapatikana haki. we have important burning problems kuliko individuals na some isolated events.

Nadhani uwezo wako wa kufikiri umefikia mwisho, na una ubinafsi uliokithiri. Kwa taarifa yako mambo aliyofanyiw Dr. Uli yanaweza kukukuta wewe, kama hayajamkuta ndugu au mpenzi wako. Ni vyema uchunguzi huru ufanyike na wahusika halisi wachukuliwe hatua kwa lengo la kuhakikisha kuwa unyama huu haujirudii tena kwa watu wengine.
 
Welcome back our leader. It's never late to put the weak government to task.....so you're expectedly spot on.
 
Dr. umenena ila ninawaomba watanzania tuingie barabarani ikibiidi huyu raisi dhaifu na serikali yake tuwapige chini.
 
Nadhani uwezo wako wa kufikiri umefikia mwisho, na una ubinafsi uliokithiri. Kwa taarifa yako mambo aliyofanyiw Dr. Uli yanaweza kukukuta wewe, kama hayajamkuta ndugu au mpenzi wako. Ni vyema uchunguzi huru ufanyike na wahusika halisi wachukuliwe hatua kwa lengo la kuhakikisha kuwa unyama huu haujirudii tena kwa watu wengine.
mabreka haya, naona hata uvivu kuyajibu.. typical mdanganyika na fikra zake fupifupi zisizo uhalisia.
 
Tunapenda kufanya mambo kwa kuiga.Serikali ilivyo ya ajabu itataka kuwatimua kama walivyofanya NIGERIA na KENYA.Tunaiga mambo ya kipuuzi tu hatuwezi kuiga mambo mazuri.Matumizi mabaya ya fedha za umma yanalenga sasa kudhoofisha hata harakati za mageuzi baada ya uchaguzi mkuu 2015.Hadi tufike 2015 nchi hii itakuwa haina tofauti na nchi iliyotoka vitani inayohitaji reconstruction.Ni lazima tudhibiti upuuzi huu wa serikali.

Leo tuna serikali ambayo katika kusoma vitabu vyote kuhusu governance sijaona model inayofuatwa na serikali hii ya ajabu.Kila siku kuna policies,kila siku kuna kugeuza priorities upside-down.

There is inconsistency in policies and due process is not given pre-eminence in everything we do in this country. Today, it is one policy. Next year it is another policy. For democracy to yield what you call dividends, there must be transparency, and there must be accountability by everybody. None of these is in place in this country.

Pia naona hili tukio limewaongezea ujasiri wa kufanya unyama siku nyingine.Tumekaa kimya mnio na kumsikitikia bila kufanya jambo ambalo litafanya haki iheshimiwe siku moja
 
Jamani hizo chai si wawe wanajinunulia? Bilioni 15 ni pesa ndefu sana kwa ajili ya jambo hili
 
Back
Top Bottom