siyo 4m ni40m kwa sikudu yani kwa siku chai Milion 4 hahhaha
take 15 Billion / 360
insane
Si amesha wajua jamaa zake humu JF, wao ni kusifia kila analosema Slaa bila hata kutumia akili.
Huyu mzee siku haaminiki na hakubaliki, mie nilitegemea aseme hizo Tshs 15 bn ziko wapi na ziko kwenye bajeti zipi? haya mambo yakutoa figures tu bila analysis tumekuchoka nayo kwani yaonyesha ndio style yake yakujitafutia umaarufu muda mrefu tu.
Sasa povu la nini kijana? halafu kwanini mbongo akikasirika lazima abonge kizungu?
Hivi Slaa ni kiongozi wa upinzani kweli ? Rekebisha kiswahili
Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
Nani anazipeleka?Hana jipya, aendelee na mradi wake wa kuzunguka mitaani kupiga kelele maana bila hivyo mkono hauendi kinywani.
Kwenye kuchochea migomo amechemka, kwanza aseme BILION 1 kila mwezi zinazopelekwa CCBRT zinaishia wapi
Umekwishaambiwa kuwa kabla ya kutekwa, Dr Uli alikuwa na ofisa usalama wa Ikulu, na mtekaji ni RCO wa kanda maalum ya kipolisi Dar. Serikali inatuhumiwa kwa kuwa baada ya utekaji huyo ofisa wa Ikulu hakufanya juhudi zozote kujua hatma ya Dr Uli, na huyo mtekaji ndiye kinara wa tume inayochunguza tukio hilo. Unataka uthibitisho gani wa serikali kuhusika zaidi ya huo? Think and behave like a JF member.Jamani, hivi ni kitu gani kinasababisha serikali kuwa mtuhumiwa number moja? nani anaweza akajustify hii kitu pls?
halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.
Nyie mnajua huyo Slaa alipiga vikombe vingapi alipoenda ikulu? Na akaomba na biskuti ya kuchovea.
du yani kwa siku chai Milion 4 hahhaha
take 15 Billion / 360
insane
Umekwishaambiwa kuwa kabla ya kutekwa, Dr Uli alikuwa na ofisa usalama wa Ikulu, na mtekaji ni RCO wa kanda maalum ya kipolisi Dar. Serikali inatuhumiwa kwa kuwa baada ya utekaji huyo ofisa wa Ikulu hakufanya juhudi zozote kujua hatma ya Dr Uli, na huyo mtekaji ndiye kinara wa tume inayochunguza tukio hilo. Unataka uthibitisho gani wa serikali kuhusika zaidi ya huo? Think and behave like a JF member.
Vipi ile mahakama ya kadhi na yenyewe gharama za uendeshaji mtazipata al-queda au al-Shabab?we mkuu acha kutuchonganisha watanzania, hili suala lipo mahakamani tuiwache mahakama ifanye kazi yake.
halafu bado mnakataa kuwa Chadema wako nyuma ya huu mgomo.