- Thread starter
- #201
Molemo
Njoo na hoja utajua kati yetu nani mwendawazimu
Chama
Gongo la mboto DSM
Nitajadili hoja gani na mwendawazimu miye?
Molemo
Njoo na hoja utajua kati yetu nani mwendawazimu
Chama
Gongo la mboto DSM
Mimi nimeshajipanga na hoja waambie mapimbi wenzako nawasubiri
Chama
Gongo la mboto DSM
Una wazimu sana wewendio buku mbili zimekutoa utu; narudia tena tu kipato changu halali kinanitosha kuendesha maisha; wewe unaonekana kabisa unaganga njaa kwa mgongo wa siasa unajua fika ukweli wa maneno yangu
Chama
Gongo la mboto DSM
Mjinga utamjua kwa matusi
Nitajadili hoja gani na mwendawazimu miye?
mkuu, kwani mbuzi hashibi na kutosheka? wewe sawa na mbuzi? ukumbuke kwamba jirani yako akiwa na njaa wee huna amani wala utulivu! Ukikua utaacha!
Hoja huna ndio sababu unaweweseka; jipange upya rudi tena
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu;
kama ni utetezi wa nyonge tafuteni mwingine msilaghaiwe na akina Dr. Slaa huyu ni mmoja wa hao mbuzi uliyemtolea mfano.
Chama
Gongo la mboto DSM
Kiongozi wa upinzani nchini na Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbrod Slaa amelaani vikali kushambuliwa na kuteswa kiongozi wa madaktari nchini Dr Ulimboka Stephen.
Kiongozi huyo amesema hakuna njia zaidi ya kuunda tume huru kuchunguza tukio zima la utekaji kwani Mtuhumiwa namba moja ni serikali na kamwe haiwezi kujichunguza yenyewe. Dr. Slaa amesema vinginevyo matokeo ya tume hiyo ya serikali ambayo si huru hayatatambuliwa wala kukubaliwa na wananchi.
Dr Slaa amesema anashangaa kusikia serikali haina fedha za kuwaongezea madaktari huku katika bajeti ya mwaka huu ikitenga shilingi bilioni 15 kwa ajili ya chai tu.
Source: Mwanahalisi
Molemo
Unafurahisha sana, angalia posti zako zirudie kuzisoma utajua nani mjinga kati yetu
Chama
Gongo la mboto DSM
Kamateni kichaa aliyetoroka Mirembe
Mhuni ni mhuni tu hajifichi?