Miaka ya nyuma tulikuwa tukisikia kiwete anapindapinda huko barabarani tulikuwa tunatoka na kupiga vigelegele. Siku hizi tukisikia anapinda mjini tunaenda kumzomea.
Maswali yangu ni haya: Je ni kwa nini viongozi hawajifunzi na kuona kuwa kwa sasa watu wanajua ni nani kiongozi wa ukweli? Huyu baba anajipitia ila wenyeji wanafurahishwa na matendo yake na nia yake ya kutukomboa. Kwa nini tusimshangilie?
Mtoa mada ajakwambia uchangie ulichopewa hapo ni taarifa ya kufahamishwa Dr. Slaa bado ni kipenzi cha wengi.sasa hapa tujadili nini?
Katika jambo lisilotarajiwa na wengi, Dr Slaa amepita katikati ya maduka hapa jijijini Mwanza huku akiamsha taharuki kwa mamia ya watu wakitaka kumwona. Dr Slaa akiwa ameambatana na mbunge wa Nyamagana mh Wenje alipata wakati mgumu baada ya kila mtu kutaka kumsalimia. Nimeshuhudia magari yakipiga honi na abiria walikuwa wanashuka kwenye daladala wakikimbilia eneo aliopo. Kesho kuna uchaguzi wa meya wa jiji la Mwanza, yawezekana ujio wa Dr ni mahususi kwa shughuli hiyo.
kwani umeambiwa na mods kila kitu ni cha kujadili humu mkuu. Hiyo ni taarifa tu. Si unaona wengine wanavyoshukuru kwa taarifa?
teh teh,imaginary president.
Mwanza wameonyesha upendo kwa mtetezi wao na Rais mtarajiwa,
Katika jambo lisilotarajiwa na wengi, Dr Slaa amepita katikati ya maduka hapa jijijini Mwanza huku akiamsha taharuki kwa mamia ya watu wakitaka kumwona. Dr Slaa akiwa ameambatana na mbunge wa Nyamagana mh Wenje alipata wakati mgumu baada ya kila mtu kutaka kumsalimia. Nimeshuhudia magari yakipiga honi na abiria walikuwa wanashuka kwenye daladala wakikimbilia eneo aliopo. Kesho kuna uchaguzi wa meya wa jiji la Mwanza, yawezekana ujio wa Dr ni mahususi kwa shughuli hiyo.
kusema kweli hiki chama hakiwezi shika dola kila kukicha mgogoro
Vijiwe mbalimbali mwaza Wanasema adam ibrahim chagulani amefukuzwa uanachama kwa sababu ya jina lake na imani yake.
pokea taarifa, unataka kujadili nini wakati hujui cha kujadili, kweli weee mbayaaa, kama avatar yakosasa hapa tujadili nini?
Vijiwe mbalimbali mwaza Wanasema adam ibrahim chagulani amefukuzwa uanachama kwa sababu ya jina lake na imani yake.
hiyo inaitwa CDM.........Ngojeni timu ya Mzee mzima manwenye ifike huko. sijui mtajificha uvunguni?