acheni raia wasikilize wapime na waamue wenyewe, hii mambo ya kuwa treat kama watoto wa chekechekea inaleta picha mbaya kwa chama chetu ambacho kimsingi ndicho chenye sera nzuri kuliko za cdm.
Ungeenda Kumwelewesha Haya Maneno Joel Bendera!! Mheshimiwa Rais Alimtoa Huko Korogwe anapalilia Michungwa Baada ya Kubwagwa na wanajimbo sasa anailinda serekali kwa kutumia Upanga akitegemea ndio anamfurahisha Aliyemteua!! Why Only Morogoro?