Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Meneja namtafuta mpaka nimpate, subirini miezi 6 mtapata habari zake zitakavyosomeka.
Duh, that's too bad for the hotel manager! Atakuwa mnazi wa CCM.
Huyo hotel meneja angeonekana wa maana kama angepandisha bei ya chumba ili apate Presidential price. Ndio maana bongo ni vigumu sana kutofautisha meneja wa hotel, mhudumu wa hotel, mhudumu wa bar na meneja wa bar; wote akili zao sawa tu.Hapo ndo utaona namna ccm walivoishiwa cause mbinu hizi ni real low! badala ya kurudisha nyuma harakati ndo vitendo kama hivo vinawaamsha zaidi wanachi
Bora uhutubie hata mtu mmoja mwenye moyo wa mabadiliko kuliko umati wa maelfu ya watu walioletwa na Malori aina ya Fuso kama inavyo fanya chama kilichochakaa cha CCMNimeangalia huo umati unaosemwa na Molemo kwenye gazati la Nipashe imenibidi nicheke mkutano wa Dr Slaa anahotubia watoto wadogo...halafu umeme kukatika hakuna uhusiano wowote na mkutano wa Dr Slaa unataka kutuambia Mikumi umeme uwa haukatiki, mbona jana baadhi ya maeneo ya Kawe kulikuwa hakuna umeme napo kulikuwa na mkutano wa Dr Slaa.
We muache tuu ajui miaka 3 ijayo ndo atakuwa boss wake...sasa ole wake labda astaafu....slaa dont loose hope hata KIIZA BESIGYE hali tete kama wewe....Duh, that's too bad for the hotel manager! Atakuwa mnazi wa CCM.