Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
[/i]
wakati ule mkapa anauwa wanamageuzi wa pemba kwa risasi za moto mlikuwa wapi?????
Kwani Zanzibar ni mkoa mmojawapo Tanganyika au ni nchi huru? Kama ni mkoa sawa, lakini kama ni nchi isiyo huru imejitakia yenyewe kutokuwa huru hivyo wakiuawa na wabara wasilalamike ni ujinga wao wa kukabidhi uhuru wao kwa wabara!.