Dr. Slaa afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani

Kuna yeyote mwenye taarifa yoyote ya yalijojili katika kikao chao kama kilikuwepo?
 
It would be incredibly foolish of President Obama to associate himself with this government.

How do you know they don't have a hand in the chakachua business? Kumbuka sera ya marekani kwa mataifa machanga yenye rasilimali za kufa mtu ni "chukua Mali zao kwa amani na utulivu, wakikushtukia, wachonganishe kisha uchukue kila kitu".
 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa

Lakini si unakumbuka kuwa Al Gore aliruhusiwa angalau kwenda mahakamani kuhoji matokeo? si unakumbuka kuwa wizi/udanganyifu ulifanywa na chama pinzani na wala haukufanywa na tume ya uchaguzi au vyombo vya ulinzi na Usalama? hapa kwetu ulikuwa ni uhuni mtupu, kuanzia kwenye kauri za sisiem, tume, msajiri, majeshi, jaji mkuu mpaka kwa fisadi rais mstaafu!!!
 
marekani kama wana maslahi na serikali ya ccm ni lazima watampongeza.wameshanunua eneo la kigamboni kwa hiyo slaa anapoteza muda kwa sababu angechaguliwa asingekubali kigamboni iuzwe kwa vyandarua.pili marekani si taifa la kuliamini marafiki wake wa zamani ndio maadui zake wa sasa na marafiki wa sasa ndio maadui wa baadae.
akili mu kichwa.
 
wewe ni mtu hatari sana asie na uchungu na watu pamoja na nchi yetu!!!! Yaani unaomba mungu wananchi wapate shida na dhiki ili waichukie serikali yao halafu wewe ulieomba matatizo hayo uje baadae kuomba kura za hawa wananchi ili uingie madarakani!!!!

mtu wa namna hii ni adui kwa taifa anaengoja shida ziendelee kuwepo kwa manufaa yake!!! Kwani huwezi kuchangia maendeleo ya nchi yako bila ya kuwa kiongozi?
watu wengine haki ya mungu wanatia kichefuchefu!!!!

unaambiwa adui muombee njaa ili anyooshe mikono juu....mimi nawaombea maisha magumu, ya tabu, ya kuhangaika na kusaga meno wananchi wa tabora, pwani, dodoma, singida kwa kuchagua ccm
 
marekani kama wana maslahi na serikali ya ccm ni lazima watampongeza.wameshanunua eneo la kigamboni kwa hiyo slaa anapoteza muda kwa sababu angechaguliwa asingekubali kigamboni iuzwe kwa vyandarua.pili marekani si taifa la kuliamini marafiki wake wa zamani ndio maadui zake wa sasa na marafiki wa sasa ndio maadui wa baadae.
akili mu kichwa.

Tanzania ni moja ya nchi ambazo Marekani wana interest sana na stability yake na wala siyo kwa mali zake. Umaskini wa watu wetu unafanya nchi hii iwe kivutio kikubwa cha ugaidi na hilo ni jambo linaloingia ndani sana kwenye security interests za marekani. Hawawezi kufanya jambo linaloweza kudestabilize nchi hii hasa kama wana uhakika kuwa uongozi uliopo madarakani umeingia bila ridhaa ya wananchi, kwani jambo hilo linaweza kusababisha machafuko kama ya Zimbabwe na Kenya.
 
Tunashukuru kwamba Jakaya Kikwete ameshinda uchaguzi. Kwa kushinda Uchaguzi, Dr. Jakaya Kikwete ameiokoa Nhci kutokana na Maadui wa Mwenyezi Mungu ambao walikuwa wameandaa njama za kifanya Tanzania iwe Nchi ya wanywa gongo. Nimemsikia huyu Dr. Slaa akisema,katika mkutano Keko,kwamba akichaguliwa,Watanzania watakunywa gongo kama wanavyotaka. Ataviondoa vizuizi vyote vinavyowekwa na Serikali ya CCM.
Labda kwa vile alikuwa anaongea Kawe karibu na kambi ya Jeshi ya Lugalo,labda alikuwa anataka kuwafurahisha wanajeshi ambao hawana kawaida ya kufuatilia Uchaguzi,ambao wanakunywa pombe tu in the run up to the elections. Hawa wanajeshi lazima waeleww kwamba watumishi wa Taifa hawapaswi kuwa walevi.
Dr. Slaa amesema ataigeuza Tanzania kuwa Taifa la wanywa gongo,lakini vyombo vya habari havikutangaza. Nisingekwenda Kawe siku ile,nisingefahamu Dr. Slaa ameitangaza Tanzania kuwa Taifa la wanywa gongo. Jakaya Kiwete angesema maneno kama yale,kwamba anataka Watanzania wanywe gongo,media ingetangaza,halafu watu wengi wangerudisha kadi za CCM. Kwa hiyo nani anasema Dr. Slaa hakupendelewa katika Uchaguzi uliopita?

'' All man are born equal,but with slickness,you can go ahead. The Android will help you to go ahead.''

 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa
wewe amka nani alikuwaambia tupo huru huu ukoloni mamboleo unaofanywa na CCM wewe huoni? Kweli asijua maana haambiwi maana.
 
Hivi wadau mnadhani mambo yameisha??? Bado mapambano hayajaanza bado..

Angalia Moshi mkurugenzi wa manispaa anatoa amri bila ya idhini ya serikali ya madiwani... Sasa ameshaanza ota joto ya jiwe...

Dr. Slaa endelea kujipanga sisi tunasubiri neno lako pale utakapokuwa umemaliza kupata data..
 
Bado upepo wa kisiasa Tanzania haijatulia....hata JK na CCM yake naamini bado hawajajua next move ya Dr. Slaa!! Jk anaweza kuwa surprised, tusubiri tuone!!

Mkuu umenifurahisha. Ndiyo maana hata Jk anahofu kuwa watz wanaweza kumatch mpaka ikulu na kumwamuru aondoke wananchi wakachukua nchi na kumwapisha Dr. Slaa. Anahofu lolote linaweza kutokea. Wale wanaomdharau dr. Slaa na kusema ovyo ovyo kama Makamba, kinana ... wako wapi?
 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa[/QUOT

kwa hali ya kawaida lazima tubabaikie tamko la wamarekani.kwa jk alipoipeleka nchi wamarekani wananguvu kubwa katika uchumi na usalama wa tanzania.kwa mantiki hiyo ni lazima tupeleleze kwa makini kama wanasupport yaliofanyika ktk uchaguzi.na sidhani kama ulikua realistic hata kuwaza kushirikishwa ktk mambo ya marekani maana hata wangetushirikisha kwa hali ya tanzania ilivyo tungeinfluence nini?kubali au kataa, the fact remains kwamba marekani is one of the few world leaders and tanzania is one of the many followers
 
Sina hakika kama watawapongeza Kwani Serikali makini kama Marekani haiwezi kushabikia jambo la aibu kama ambalo CCM wamelifanya wewe jiulize toka umepata akili zako uliwahi kuona CCM hawafanyi sherehe za kupongezana kwa jambo lolote walilopata basi ujue wanajua walichofanya na matokeo yake hata wao wanaona aibu kupongezana .mie nijuavyo Amani au shari ya tanzania kwa sasa ipo kwenye ulimi wa Dr Slaa atakalo sema tutamuunga mkono kwani tupo pamoja watu milioni 40 hawashindwi na watu milioni tano bwana.mbona hao Mafisadi wanajulikana tutawateketeza moja moja bila kuvunja amani.
 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa

yes,jenga taifa mafisadi wale,ur message is so naive,how long shall they kill our prophets while we stand aside and look??unaonekana umekata tamaa ya mapambano ya ukombozi,kaongee kauli yako hiyo kanisani..msikitini watakukimbiza,freedom is never given,it is taken
 
msisahau kufanya kazi zenu jaman

Worry not!! kazi zinafanywa na mambo mengine muhimu kama haya yatafanywa vilevile... Hakuna kulala mpaka kieleweke....... DR SLAA fanya majumuisho halafu tutonye cha kufanya tukuonyeshe kazi... Tumechoka kudharauliwa na MAFISADI... haiwezekani tudamke asubuhi na mapema kumweka kiongozi tunayemtaka madarakani halafu MAJAMBAZI wanazigeuza kura zetu up side down!!!! nasema nop!!:nono::nono::nono::nono::nono:
 
Katika ripoti za awali za waangalizi wa kimataifa, karibu wote wameelezea kutoridhishwa kwao na zoezi zima la ujumlishaji kura lilivyoendeshwa. Jaji Makame alijikanyaga sana alipoulizwa swali juu ya udhaifu wa vitendea kazi vyao especially katika kujumlisha kura, je walifanya testing na training za kutosha kwa watumiaji?

Nalazimika kuamini kuwa kulikuwepo na dhamira ya makusudi ya kusambaza vifaa vibovu/flawed equipments ili kujustify hujuma zao!!
 
By the way, Serikali ya marekani imeshampongeza JK kwa ushindi?

For sure atapongezwa. Inachelewa kwa sababu tu ya procedure.

For your info, baada ya JK kumleta Bush wakati wa awamu ya kwanza, awamu ya pili lazima Obama atatinga Magogoni.
You will remember this!!
 
Sawa umenena coby maana watu hawajaelewa madhara ya kukumbatia mafisadi, wanaotuchekea huku wanatumaliza.
 
Back
Top Bottom