Dr. Slaa afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani

nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa


maneno yako ni mazuri, lakini kwa vile serikali yetu inaishi kwa kutegemea misaada, na marekani ndio wanaotoa Oksijeni ya $$ zinazompa Kikwete kiburi cha kuiba kura zetu, tuna haja ya kuwahusisha. Kikwete katika moja ya kampeini zake alisema kuwa akaienda nje huwa anaenda kuhemea. Sasa atakosa kwa kwenda kuhemea iwapo marekani itakata mpira wa okisjeni hiyo. Serikali yake itakolapsi na haki yetu itaturudia tena. Obama alishasema siku nyingi kuwa hatavumilia utawala wa kimabavu katika bara hili la Afrika. Kikwete alikuwa anaaminika kuwa alichaguliwa na watu kwa furaha na kujizolea kura halali 80%, leo akishajulikana ni mwizi wa kura basi ndiyo mwisho wake. Kumbuka kuwa Marekani ikisema neno, basi ulaya ya magaharibi yote, Japan na India zitafuata; tutabakiwa na China na Urusi tu.
 
Ninafarijika sana na kila move ya Dr. Slaa.
Naamini rais wetu wa ukweli anatujali sana. Anafahamu tupo nyuma yake ndo maana anajiamini. sisi tunajiamini kwa sababu yake.
Long live Slaa. mjenzi makini wa taifa


yaani nina uhakika Mkwere jasho ninamtoka ..haelewi haya mamboyatakuwaje maana ni ujangili haswa kafanya..sasa USA wakimpa BAN atatibiwa wapi?maana hapa anangoja tu atangaze baraza la mawaziri aende zake USA
 
I really hope that they have been talking about this!! Andd!! please do not give again to Tanzania, it is a burden to our future generation!!:smile-big::smile-big:

Tanzania faces new debt crisis ...AS NATIONAL DEBT SOARS TO MORE THAN $10 BILLION

By ThisDay Reporter

25th October 2010
TANZANIA is facing a new debt crisis as budget crunches in rich countries are bringing cuts in aid spending, forcing the government to seek loans to meet budget deficits.

During the year ending July 2010, the national debt stock soared by more than $1.185 billion to a staggering $10.1 billion, according to Bank of Tanzania figures.

At the end of December 2006, the country's national debt stood at around $7 billion.

This means that the national debt has increased by a whopping $3 billion since President Jakaya Kikwete's government came into office towards the end of 2005.

Analysts have warned that the nation's debt could balloon further in the coming years, following a decision by development partners to cut aid to poor countries, including Tanzania.

The government's current budget reflects a reduction in foreign aid from $840 million in 2009/10 to $534m this year, a figure that still represents 25 percent of the country's projected takings.

Experts say an overall cut in bilateral aid is only one worrying aspect of Africa's financing equation, according to a Reuters report.

Just as alarming is the potential for donors to inflate their aid figures by switching assistance from grants, which are in effect a gift, to concessionary loans, which have to be repaid, albeit at cheap rates.

"You've got the double whammy of African countries struggling because of the crisis, and then donors potentially switching more to loans than to grants," said Daniel Coppard, an aid analyst at Britain's Development Initiatives in an interview with Reuters.

The implications of such a switch by other donors would be dire, burying many African states under the same mountain of obligations that triggered the 2005 Heavily Indebted Poor Countries debt forgiveness initiative of the IMF and World Bank.

For example, if all its overseas grants became loans tomorrow, Tanzania would be running a budget deficit of a staggering 25 percent of gross domestic product (GDP).

The signs that donors' austere response to their own financial problems may end up exacerbating Africa's are already there.

According to a study by the International Monetary Fund (IMF), total public debt for low-income countries like Tanzania rose to 35 percent of GDP in 2010 from 30 percent in 2008.

The government has already shown a growing appetite for borrowing following the decision of donor countries to cut aid.

The government announced earlier this year it had revived plans to issue its first eurobond, worth $500 million to raise funds for infrastructure projects.

The Bank of Tanzania has also been borrowing more money from the private sector by issuing government securities.

A recent analysis by Dar es Salaam based civil society organization, Uwazi, shows that at present for every 1 shilling it collects as tax revenue, the Tanzanian government spends 1.9 shillings.

The difference between the two is borrowed money and foreign budgetary grants.

"If Tanzania's existing debt was apportioned equally to every living Tanzanian, each Tanzanian owes lenders 332,000 shillings in public debt," says part of the report.

"Of this, 264,354 shillings (80%) is owed to foreign lenders. With the borrowing planned in 2010/11, each Tanzanian will add 54,300 shillings to their debt obligation.
 
Hatua za Dr Slaa (PhD) kwa kweli zinafurahisha na kutia moyo maana hadi sasa, adui zake hawajui nini anapika na je mataifa ya nje wata-react vipi mara wakipata habari nzima kwa ujumla. Nina uhakika CCM hadi kesho watakuwa na wasiwasi sana hatua za Msomi huyo mwenye PhD ya ukweli na si ya kupewa kama wengi walivyoandika.

Wakati wengi wakiwa wanampinga, mie karibu miaka miwili iliyopita nilianza kampeni za DR. SLAA FOR PRESIDENT. Nilifanya hivyo mara baada ya kuona mwendo na hatua zake kuwa ni: SIMPLY THE BEST.




Anawaijia CCM, Wild and Wild....... kiwewe kitawauwa.
 
Last edited by a moderator:
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa

Unaamini kwamba uchaguzi haukuwa huru na wa haki, yet unataka watu wakubali matokeo, kwanini?

CCM yenyewe baada ya kura za maoni walishindwa kuvunja makundi na bado yanawatesa mpaka sasa hivi, matokeo yake wameanza kuwatimua baadhi ya wanachama na kuwahamisha vituo baadhi ya watendaji wa chama. Kwa CCM chama ni muhimu zaidi kuliko nchi?

Kinachosakwa sasa ni ku-establish fact kwamba uchaguzi haukuwa huru na haki, na hivyo next move ni kudai kwanza marekebisho ya Tume ya Uchaguzii na Katiba Mpya. Serikali ya CCM haioni umuhimu wa Katiba Mpya kwa kuwa inawapendelea wao, kwa hiyo ili kuibana lazima kuwe na pressure za ndani na nje ya nchi. Nina hakika pressure ikiongezwa toka nje na ndani, tunaweza kupata Katiba Mpya ambayo itahakikisha tunapata pia Tume ya Uchaguzi iliyo huru.

Kwa hiyo hoja yako kwamba kwa kuwa Rais ameishatangazwa then watu waachane na mambo ya uchaguzi, tutaanza kuandaa yaliyotokea Kenya mwaka 2007, maana mwaka huu tayari kuna watu wamekufa kwenye kampeni na wengine wamejeruhiwa kwenye utangazaji wa matokeo. Hali hii ikiachwa iendelee, mwaka 2015 kuna watu watauana. Ndio maana kuna baadhi ya wabunge wateule wanalindwa na Polisi na wasimamizi wa uchaguzi wamekuwa wakitumiwa msg za kutishiwa maisha. Huu ni mwanzo tu na hali hii ikiachiwa iendelee kuna hatari kubwa huko tuendako.
 
Safi anatumia hatua muhimu ambayo maandamano yangefanya ila mushikeri ungeweza kutokea,maana maandamano ni kutuma ujumbe kwa watu mbalimbali hasa balozi ...so kama anaongeanao basi ni bomba zaidi
 
Marekani kupitia kwa balozi wake tayari wamempongeza JK ilikuwa ijumaa ya wiki iliyopita
 
YAANI HAMJAYAAMINIMATOKEO TU........hakupanga foleni kupiga kura?....... au mnadhani ni ndoto .......chaguo lenu lilo bora ...lisilo na shaka ndani yake ndo hiloooo....dr.col. JMK
 
maneno yako ni mazuri, lakini kwa vile serikali yetu inaishi kwa kutegemea misaada, na marekani ndio wanaotoa Oksijeni ya $$ zinazompa Kikwete kiburi cha kuiba kura zetu, tuna haja ya kuwahusisha. Kikwete katika moja ya kampeini zake alisema kuwa akaienda nje huwa anaenda kuhemea. Sasa atakosa kwa kwenda kuhemea iwapo marekani itakata mpira wa okisjeni hiyo. Serikali yake itakolapsi na haki yetu itaturudia tena. Obama alishasema siku nyingi kuwa hatavumilia utawala wa kimabavu katika bara hili la Afrika. Kikwete alikuwa anaaminika kuwa alichaguliwa na watu kwa furaha na kujizolea kura halali 80%, leo akishajulikana ni mwizi wa kura basi ndiyo mwisho wake. Kumbuka kuwa Marekani ikisema neno, basi ulaya ya magaharibi yote, Japan na India zitafuata; tutabakiwa na China na Urusi tu.
kwa vyovote vile kama marekani akisitisha misaada basi viongozi wetu sio wataoteseka bali ni yule mwananchi wa kijijini. leo mimi na wewe tunaweza kuishi ata kama nchi yetu ikisitishiwa misaada lakini kizazi cha masikini katika taifa letu kitateseka .kwa maslahi ya taifa letu nadhani ni vema tufanye chaguzi huu umepita na tugange yajayo. dr slaa bado ananafasi ya kujijenga kwani yeye ni katibu mkuu wa chama kitachokuwa na wabunge kama 50(+viti vya wakike ,maalum). mimi ni mshabiki wa haki daima lakini sitokuwa tayari kuunga mkono kauli na shinikizo la marekani ata kama kwa lengo zuri. daima naipenda tz na naheshimu tawala zilizopo pia nazikosoa lakini sitokubali kupokea amri ya kuishinikiza serikali yangu toka kwa wakoloni. ni bora nitawaliwe na kiongozi nisiyempenda kuliko kusalimu amri kwa marekani.
daima chaguzi za kibabe zina mwisho lakini uwezi kukwepa mabadiliko. pia tambua kuanguka kwa ccm ghafla kungeweza kuleta magonjwa ya moyo kwa makada wake na ata machafuko. nadhani tupeni kipindi cha kuwaandaa wana CCM kwa miaka 5 ,hapo itakuwa ni wakati ambao ata wao wanajua watashindwa na hakutakuwa na madhara makubwa. CHADEMA tambueni miaka 5 si mingi. msivuruge nchi mtayokuja kuitawala
 
kwa vyovote vile kama marekani akisitisha misaada basi viongozi wetu sio wataoteseka bali ni yule mwananchi wa kijijini. leo mimi na wewe tunaweza kuishi ata kama nchi yetu ikisitishiwa misaada lakini kizazi cha masikini katika taifa letu kitateseka .kwa maslahi ya taifa letu nadhani ni vema tufanye chaguzi huu umepita na tugange yajayo. dr slaa bado ananafasi ya kujijenga kwani yeye ni katibu mkuu wa chama kitachokuwa na wabunge kama 50(+viti vya wakike ,maalum). mimi ni mshabiki wa haki daima lakini sitokuwa tayari kuunga mkono kauli na shinikizo la marekani ata kama kwa lengo zuri. daima naipenda tz na naheshimu tawala zilizopo pia nazikosoa lakini sitokubali kupokea amri ya kuishinikiza serikali yangu toka kwa wakoloni. ni bora nitawaliwe na kiongozi nisiyempenda kuliko kusalimu amri kwa marekani.
daima chaguzi za kibabe zina mwisho lakini uwezi kukwepa mabadiliko. pia tambua kuanguka kwa ccm ghafla kungeweza kuleta magonjwa ya moyo kwa makada wake na ata machafuko. nadhani tupeni kipindi cha kuwaandaa wana CCM kwa miaka 5 ,hapo itakuwa ni wakati ambao ata wao wanajua watashindwa na hakutakuwa na madhara makubwa. CHADEMA tambueni miaka 5 si mingi. msivuruge nchi mtayokuja kuitawala

pesa hizo vinatumika kuagizia mabango Canada ,kuruka na ndege dunia nzima nk wanapewa data zote hizo............
 
Marekani sio watu wa hovyo hovyoo..Wampongeze nani?Machizi ya kura haya na mwenyekiti wao wa NEC na domo lake lilivomlegea kama kalishwa ndimu


Asiyekubali kushindwa si mshindani, nchi huwa na rais mmoja akisha apishwa ni kulegeza mwili na kuweka mikakati kwa uchaguzi utakaofuata 2015.
Sioni busara yoyote ya Marekani ya kumpongeza JK ingawa tayari wamefanya hivyo kupitia kwa balozi wao hapa nchini. Uchaguzi wa marekani mwaka december 2000 inajulikana wazi Bush kwa kushirikiana na kaka yake walichakachua matokeo dhidi ya Al gole wa Democrat, hivyo kushinda uchaguzi, je unatoa ishara gani kwa nchi nyingine?
Mwisho Obama mwenyew mambo yana mwendea kombo ameshindwa kuongoza na hata pata nafasi ya second term, umvi zinazidi kinywaji kwa matatizo ya ndani mwa nchi yake na chama chake, mwacheni kichwa kiendelee kumuuma mwa mambo yake nchi yake
 
Kwa kuanzia, uchaguzi huu ulikuwa na dalili zote za kutokuwa wa haki na huru.

Usiri wa daftari la wapiga kura uligubikwa na njama za kuwafanya wengi wasiweze kupiga kura kwa kuchelewesha kuweka wazi majina wa waliojiandikisha vituoni, kuvuruga kwa makusudi utaratibu wa vituo vya kujiandikisha na vya kupigia kura na walipotoa majina, walihakikisha viandishi vinakuwa vidogo kama vya barua ya ofisini (Font 12 na majina 500 mpaka 1000!!!). Wakati wa kuendesha kampeni, CCM walikuwa wanaingilia mchakato kwa kuwatisha na kuwahamisha maofisa muhimu kwenye uchaguzi katika majimbo wanayoona upinzani ni mkubwa.

Uhuru wa kupiga kura uliingiliwa na vitisho vya jeshi kwa raia (Hii ni kwa amri ya Kikwete, ambaye ni mgombea na amiri jeshi mkuu) wakati ambao walikuwa kwenye mchakato wa kuamua nani wamchague pamoja na kutishia vyombo huru vya habari kuanzia waandishi mpaka magazeti yao. Kwa vijijini, vitisho vya wababe wa CCM uliwafanya wengi wasiende kupiga kura, kuuza vitambulisho vyao kwa CCM au kulazimishwa kuchagua chama tawala.

Hata pale watu walipopiga kura, haki ilipokonywa, kwa kununua mawakala, kupiga kura zaidi ya moja na kudanganya katika kujumlisha kura. Sehemu nyingi ambako walionekana kushindwa, karatasi kutoka vituoni zilipotea kwenye mazingira ya kutatanisha, na/au kukataa kuingiza hesabu ya baadhi ya kata katika idadi ya jumla.

Kwa vigezo hivi vichache, naamini yapo mengi ya kusikitisha, siyo ajabu kwa mstaarabu yoyote kutokukimbilia kupongeza anayejiita mshindi wa uchaguzi huo. Unaweza kupoteza heshima yako kwa papara isiyo na msingi. Nafikiri siyo Marekani tu, pia nchi nyingi za Ulaya hazijafanya hivyo. Labda wanasubiri taarifa ya observers wao ili wafanye maamuzi yaliyo sahihi. Hata hivyo, hii imetia doa kwenye siasa za Tanzania na sitashangaa wahisani wetu wa asili kama Scandinavian countries wakasuasua kutoa pesa zao kusaidia Tanzania. Hata zile gharama tu za uchaguzi zitakuwa zimewatisha sana, na sitashangaa wakahoji zilikotoka fedha nyingi kiasi hicho kwa muda mfupi wakati miradi mingine imesimamishwa kwa nchi kushindwa kutoa sehemu ya pesa katika kuchangia.

nawasilisha
 
Haijalishi

Inajalisha kwa wale wenye fikra kwamba marekani akisema sawa ndo wanafurahi, nashangaa pamoja na kupongezwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete bado kuna wale waliotaka kusikia kauli ya Marekani lakini bado hawataki kukubali matokeo
 
UN wamempongeza JK hiyo inatosha kabisa

Acha mawazo urojo! UN kumpongeza JK ni upupu tu kama ule wa kuitunukia tanzania tuzo ya mafanikio ya millenia wakati wamafunzi hawajui kusoma wala kuandika.
hawa na sawa tu na akina redet na sinovet! hawana dira kwa ufidhuli uliopo tanzania.

angalizo: UN tusijisahau kuwa mtendaji na.2 ni kada senior wa CCM hivyo kuhakikisha unga haumwagwi, au kitumbua hakiguswi na mchanga! liwe liwalo atatetea hata pongezi za Ban ki moon zitoke na tibisiii... :(
 
Godwine,

Ukisoma kitabu cha Gamba la Nyoka kama sikosei cha Prof?? Ezekiel Kezilahabi, alielezea kwa uzuri sana matukio kama haya.
Yeye anasema wazi kuwa "ukitaka kulitibu JIPU, basi lazima ulipasue."

Milele nilikuwa nasema mie siwezi kukubali kupasuliwa jipu maana maumivu ni makali. Ila panawakati nilipata jipu na lilikuwa sehemu ambayo siwezi kulipasua mwenyewe bila msaada na ilibidi niombe msaada. Amini usiamini, maumivu ya wembe na kupasua wala sikusikia. Mwisho nikapata Sindano bado sikusikia maana yale ya JIPU kwa kweli ilikuwa kasheshe. Sikutaka kulia ila machozi yalitoka yenyewe.

Kama Machungu ya hali mbaya ya uchumi yakianza, basi amini usiamini, watu wenyewe wataingia barabarani kudai haki na kuwatimua CCM na hawatasubiri Slaa wala nani aje awaambie watoke kuandamana. Na huyu Slaa mwenyewe akija kuwapoza, basi watamuweka ngwala na wataendelea kuwa-face hao FFU na JWTZ kama watajifanya kuwazuia. Hakuna mtu mwenye roho korosho kama Mrusi, ila hata yeye aliweka manyaga chini na ngoma juu. CCCP ikaenda chini na Gorbachev wake.

Achana na PEOPLE'S POWER.............................................

BOMA2000: Ukisikia mikakati ya 2015 ndiyo hii imeanza. Kama wewe huelewi, pole sana na soma maelezo ya KEIL hapo juu.
 
Marekani kupitia kwa balozi wake tayari wamempongeza JK ilikuwa ijumaa ya wiki iliyopita

I am not surprised! They are the ones who are proping up dictatorial regimes like Egypt, Uganda, KSA, and elsewhere in the world. Remember that "America has no permanent friend BUT have permanent interests". can you recall, how many died during Mobutu's regime? How about Savimbi. You have not mentioned countless atrocities committed by the Americans in Guatemala, Panama, Hondurus, etc.

There is a smell of American interests in our natural resources this time around. Get prepared brother/sister. They are coming and do not care how you are ruled.
 
Back
Top Bottom