Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
Huu ni upuuzi kabisa kwa wabunge wa chadema kutoka nje ya ukumbi
Kwa nini,Sababu wabunge hawa hawa wamekwisha pokea tsh milioni 200 kutoka serikali anayoiongoza Kikwete,kama wangechukua uamuzi wa kutopokea fedha hizo wangeeleweka kwa jamii,Je waliapa namna gani.
Tafadhari wabunge wa Chadema acha kuburutwa na baadhi ya viongozi wenu,tazama maslahi ya Taifa,Hiki chama kilianza vizuri vision yake lakini sasa nimeanza kuona tofauti.
binafsi nimechukizwa na uamuzi huo na maelezo ya dk slaa ktika face book ni mepesi mno yasiweza kuonesha ukweli wa tatizo
kaa ukiwaza ivo ivo! Ukweli utakufuata mpaka kwenu. Si ndo nyie watu wa kampeni za shuka kwa shuka. Subiri tu.