Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
makamanda wa sikonge-Tabora walilalamika kuwa bado hawajapata sapoti toka makao makuu...kaeni mkao wa kula..babu yuko njiani...jana alikuwa kata ya mwawaza-shinyanga...leo atakuwa kata ya bugarama-kahama...then straight tabora
Idimulwa, tunashukuru kwa up dates zako ila ingependeza kama ungeweka na picha za mikutano hiyo ya vunja jungu.