Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Tarehe 16 & 17 october 2012 zitakuwa ni za kukumbukwa katika historia ya siasa za vyama vingi katani hapa.
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo amefanya mikutano mikubwa kila kijiji katani hapa kwa siku mbili mfululizo bila kuchoka akimnadi mgombea udiwani wa chama chake ndugu Musa Ibugha na akitoa elimu ya uraia.
Hali hiyo ilipelekea kusimama kwa shughuli za kawaida na watu wengi kuhudhuria mikutano yake huku wakishangazwa na jinsi anavyomudu kuka jukwaani muda mrefu licha ya umri wake kuonekana mkubwa.Jumla ya watu 280 walirudisha kadi za ccm huku 678 wakijiunga na cdm rasmi
Hali hiyo imemfanya mwenyekiti mpya wa ccm- Geita bwana Msukuma kutia timu leo katani hapa ili ajaribu kukisaidia chama chake...ujio wake umewafanya ccm kuzindua kampeni rasmi leo.
Je nani zaidi SLAA AU MSUKUMA? Fuatilia mtanange huu mtamu hapa JF
Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo amefanya mikutano mikubwa kila kijiji katani hapa kwa siku mbili mfululizo bila kuchoka akimnadi mgombea udiwani wa chama chake ndugu Musa Ibugha na akitoa elimu ya uraia.
Hali hiyo ilipelekea kusimama kwa shughuli za kawaida na watu wengi kuhudhuria mikutano yake huku wakishangazwa na jinsi anavyomudu kuka jukwaani muda mrefu licha ya umri wake kuonekana mkubwa.Jumla ya watu 280 walirudisha kadi za ccm huku 678 wakijiunga na cdm rasmi
Hali hiyo imemfanya mwenyekiti mpya wa ccm- Geita bwana Msukuma kutia timu leo katani hapa ili ajaribu kukisaidia chama chake...ujio wake umewafanya ccm kuzindua kampeni rasmi leo.
Je nani zaidi SLAA AU MSUKUMA? Fuatilia mtanange huu mtamu hapa JF