Elections 2010 Dr. Shein na Maalimu Seif wanachuana Z'bar

Status
Not open for further replies.
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja

Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141

Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.

Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96

Ziwani -Pemba *
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60

Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28

Napata shida kuamini, kama Tomaso vile? Anyway MWIBA, Ndo kusema vyama vingine 0?
 
Kama SHAIN alipiga kura yake ostabei Dar mnategemea ana maslahi na wazanzibar???
Waache wazenji wamchague mtu wanayemwona anawafaa.
Hongera Maalim Seif kwa kukaribia kiti cha ushindi.
 
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja

Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141

Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.

Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96

Ziwani -Pemba
*
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60

Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28

Hapa ndo watu huwa wanaimba '' Wamebana wame achia!!!!''
 
Maalim Seif..........anaichukua Zanzibar................nawakilisha
 
Madungu
CUF 1006
CCM 418
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
 
Kuna wizi mkubwa umegundulika na huenda uchaguzi ukaingia dosari kubwa.na inasemekana umefanyika kwa Tz nzima vipi na kwa njia gani bado ni mtihani.
 
Kuna wizi mkubwa umegundulika na huenda uchaguzi ukaingia dosari kubwa.na inasemekana umefanyika kwa Tz nzima vipi na kwa njia gani bado ni mtihani.

Hamadi nini tena nilishaanza kusikia raha nuksi imeanza hawa CCM nitatukana mie!!!!!!!!
 
Zanzibar matangazo yamesimamishwa na hakuna ruhusa kwa chombo kutangaza kama ilivyokuwa hapo kabla kuna jamaa wa cable tv walikuwa wakirusha live kila yanapotiwa sahihi ,baada ya kutokea mgomo kwa ccm kusaini ndipo matatizo yalipoanza na taa kuzimwa baadhi ya sehemu za mashamba kama bububu ,inasemekana sasa hivi ccm wana attack ya kuiba kura na kutangaza uwongo.
 
Duh Hakiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..ila bado majimbo ya CCM kutangazwa na yana population kubwa kwa zanzibar..huenda kibao kikageuka..ila all in all Maalim Urais upo peupe upande wake
 
Zanzibar matangazo yamesimamishwa na hakuna ruhusa kwa chombo kutangaza kama ilivyokuwa hapo kabla kuna jamaa wa cable tv walikuwa wakirusha live kila yanapotiwa sahihi ,baada ya kutokea mgomo kwa ccm kusaini ndipo matatizo yalipoanza na taa kuzimwa baadhi ya sehemu za mashamba kama bububu ,inasemekana sasa hivi ccm wana attack ya kuiba kura na kutangaza uwongo.

ah hawa jamaa mbona wanataka kuharibu jamani watazamaji wa EU wapo waungwana wa SADC nao na kwengineko
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom