Baridijr
Member
- May 27, 2009
- 36
- 0
heshima yake iko juu sana kuliko kiongozi yoyote kwa tz..hata ziara zake za mikoani viongozi wa huko wanamuogopa yeye kuliko wengine wote, heshima yake iko juu.
heshima yake iko juu sana kuliko kiongozi yoyote kwa tz..hata ziara zake za mikoani viongozi wa huko wanamuogopa yeye kuliko wengine wote, heshima yake iko juu.
CreativeThinker
Kama hivi ndo kuwa CreativeThinker mimi naogopa.
Mkuu ni wewe na nani hamtajali kama Rais ajaye atakuwa CHIZI au kuwa na kiwango fulani cha UCHIZI?
Mimi katIka hilo LA UCHIZI, sipo. Sipo kabisa mkuu.
Natarajia tupate RAIS MWENYE AKILI TIMAMU na SOUND MIND.
1.Hajaonyesha tamaa wala uchu wa madaraka.
2.Hana skendo yoyote kubwa anayo tajwa kuhusika.
3.Haelekei kuwa na makundi
4.Ni mpole na hapendi spotlight kitu ambacho kinaweza kuashiria he is all action and no talk.
5.Tetesi niliyo sikiaga ni kwamba 2005 Kikwete alikua na mgombea mwenza wake mwenyewe lakini baada ya majadiliano wakaona kwamba Shein ndiyo anafaa kuwa kwenye tiketi ya chama.
Sijui kama mwenyewe ana ndoto za 2015 lakini kwenye kundi la sasa yeye anaonekana kufaa kuliko wenzie.
Wanaweza kutokea wengine wanaofaa kabla ya 2015 ila kwa sasa nimemuona huyu. Haya ni maoni yangu tu wakuu sijui nyie mna semaje.
Hafai.
Hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai, hafai, hafai.
Hafai.
Hafai - ndiyo hayo maoni yangu.
Amefanya nini hadi atunukiwe Uraisi kama zawadi ?
Mkuu naheshimu maoni yako. Toa mawazo basi ni nani anayefaa badala yake.
Aliye na ujasiri wa kusimamia utawala wa sheria na haki na hakai kimya kukemea na kuchukua hatua kwa matendo yasiyoendana na utawala bora ikiwa ni pamoja na kuwajibika ikibidi.
Itapendezea kama Shein atakuwa Rais 2010 au 2015, lakini hata leta mabadiliko yoyote.
Kama tunataka mabadiliko (mfano kutokomezwa ufisadi na uchumi kukua kwa kasi ya kuridhisha), tunahitaji Rais mwanajeshi (Major General na kuendelea) mwenye elimu na maono ya mbali. Huyu mwanajeshi msomi awe na uwezo wa kusoma alama za nyakati na kung'amua mambo na masuala ya kiuchumi ya dunia. Mifano ya Afrika ni Kagame na Gaddafi. Ona walichokifanyia nchi zao. Mambo yanakwenda. Hakuna ufisadi uliokithiri.
Kwa sasa hapa Tanzania hakuna kiongozi wa namna hii. Ndo maana naona Shein anafaa.
There is no alternative.
Mazee hizo sifa ndizo alizonazo JK.
1. Yeye ni Lt. Colnel
2. Economist
3. Nyakati - yes mtandao walisoma nyakati
Mimi siifahamu track record yake, kitu kinachofanya nitilie shaka credentials zake. Kuna kitu gani "revolutionary" amefanya prior to 2005 kwenye nyadhifa mbalimbali alizoshika?
Hafai.
Hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai, hafai.
Hafai, hafai, hafai, hafai, hafai.
Hafai.
Hafai - ndiyo hayo maoni yangu.
Amefanya nini hadi atunukiwe Uraisi kama zawadi ?
Kwa mara ya kwanza nimeguswa kupost kwenye JF.
1. Wengine waliotangulia na unaona wanafaa wamefanya nini?
2. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba mambo mengi mazito anafanya huyu mzee
Kwa mara ya kwanza nimeguswa kupost kwenye JF.
1. Wengine waliotangulia na unaona wanafaa wamefanya nini?
2. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba mambo mengi mazito anafanya huyu mzee
Shein afikiriwe 2015 ili Rais awe wa kutoka Visiwani.
kwa mara ya kwanza nimeguswa kupost kwenye jf.
1. Wengine waliotangulia na unaona wanafaa wamefanya nini?
2. Kwa taarifa za ndani, ni kwamba mambo mengi mazito anafanya huyu mzee
Hivi kuna jambo gani ambaye amelifanya huyu mzee mpaka mkadhani anafaa kuchukua uongozi wa nchi? binafsi naona kama ni mtu ambaye ana kosa ushupavu wa kubeba mzigo mzito huu wa nchi masikini na iliyojaa ufisadi. Samahani lakini...mimi naona kama yupo yupo tu.....nielimisheni
Hilo nililotia kivuli namimi pia nimeishawahi kulisikia mahali, kuwa kuna kazi Ikulu alikuwa anazifanya Ben za kiofisi, Kikwete hajui hata aanzie wapi! hagusi kabisa! Dk Shein ndiyo anaokoa jahazi!
Lakini mie naona urais hautamfaa, amepoa sana bwana!!