CHIHAYA
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 102
- 25
Wadau naomba tujuzane hili limekaje kwa hawa viongozi wetu wa siasa? Je, Dr.Shein analipwa mafao ya ustaafu kama makamu wa raisi Muungano? Na akimaliza utumishi wa nafasi aliyonayo sasa atakawa yuko hai ataendelea kuvuta zote? Hili limekaaje ktk inchi kama yetu wadau? Na akina Msekwa na Sita je?